Rais Mstaafu anaamini watanzania wana raha sana, kwamba raha waliyonayo watanzania ni nyingi kupita kiasi, anasema sasa ni kama wamevimbia ndio maana wanaongeaongea sana.
Source: TBC Habari.
MyTake:
Hawa viongozi wakiwa wanapita barabarani wanasafishiwa njia, hawajui adha ya mfumuko wa bei wala ukosefu wa ajira maana yake nini, Mwinyi kajisahau.
kuna nchi watu walikua na njaa sana, kulikua hakuna mke wa mfalme alipoulizwa kuhusu njaa za watu, kwa mshangao akasema sasa kama hawana mkate si wale keki? naomba Mh Rais mstaafu ndicho kitu anafanya, kajisahau sana!
Source: TBC Habari.
MyTake:
Hawa viongozi wakiwa wanapita barabarani wanasafishiwa njia, hawajui adha ya mfumuko wa bei wala ukosefu wa ajira maana yake nini, Mwinyi kajisahau.
kuna nchi watu walikua na njaa sana, kulikua hakuna mke wa mfalme alipoulizwa kuhusu njaa za watu, kwa mshangao akasema sasa kama hawana mkate si wale keki? naomba Mh Rais mstaafu ndicho kitu anafanya, kajisahau sana!