Hapo kwenye blank nadhani ulitaka kuandika ******ufisadi umepikwa toka enzi za mkapa eg epa, meremeta, kagoda, deep green nk ametuachia umasikini na huyu ****** anauendeleza na richmond. wote magamba wana kesi ya kujibu serikali makini ikipatikana.
Yes, mapishi yalianza enzi zake lakini wapikaji walikuwa ni genge kuu likiongozwa na 'Igunga' na 'Monduli' ambalo lilijipanga kumwingiza mzururaji magogoni. Kwa jinsi genge hilo lilivyojipanga, mzee wa watu wa uwazi na ukweli hakuwa na jinsi ya kuzuia.ufisadi umepikwa toka enzi za mkapa eg epa, meremeta, kagoda, deep green nk ametuachia umasikini na huyu ****** anauendeleza na richmond. wote magamba wana kesi ya kujibu serikali makini ikipatikana.
Yuko nyumbani kwake Lushoto kakimbia msongamano wa magari Dar.Alisema kweli mtanikumbuka, maana tangu aingie huyu nuksi Tanzania imekuwa zama za DHIKI KUU
Mkapa atakumbukwa na sisi wana CCM, siyo nyinyi Chadema.
yupo busy na mambo ya usuluhishi wa migogogro barani africa he is internationally recognised- ana malizia kazi zake alizopewa kuhakikisha sudan kusini inakitawala,hana muda wa kuuza sura na kujichekesha hovyo!
Mkapa atakumbukwa na sisi wana CCM, siyo nyinyi Chadema.
Mwacheni Mzee apumzike.