crome20
JF-Expert Member
- Feb 5, 2010
- 1,130
- 721
Katazo la kuwaingiza watoto kwenye siasa kwa kisingizio cha Chipuki wa Chama ni jambo ambalo nililipinga kwamba ni kukiuka haki za mtoto kwa kuanza kumjengea mtoto itikadi za vyama badala ya kumjengea uzalendo wa Nchi kwa kushiriki shughuli za kitaifa tu!
Nashukuru kwa kuliona hili kwani tulikokuwa tunaelekea ilikuwa ni kuanza kuwajengea uasama watoto endapo chipukizi wa vyama tofauti wakikutana. Mwenye akili nyepesi hawezi kuliona hili, thanks JPM.
La pili Mh JPM si kila mali za CCM zote ni halali kuwa zao, zingine ni maliza wananchi wote na zilitakiwa zirudi serikalini baada ya vyama vingi.
Fanyia kazi wazo hili kama unachukuzwa na unafiki
Nashukuru kwa kuliona hili kwani tulikokuwa tunaelekea ilikuwa ni kuanza kuwajengea uasama watoto endapo chipukizi wa vyama tofauti wakikutana. Mwenye akili nyepesi hawezi kuliona hili, thanks JPM.
La pili Mh JPM si kila mali za CCM zote ni halali kuwa zao, zingine ni maliza wananchi wote na zilitakiwa zirudi serikalini baada ya vyama vingi.
Fanyia kazi wazo hili kama unachukuzwa na unafiki