Huo ndio uongozi uvumilie tu kama wenzake. Asitegemee sifa tu kutoka kwa kila mtu. Afanye maendeleo kama amekusudia hivyo akimaliza muda wake atasifiwa na aliowafurahisha. Tupo kwenye karne nyengine asiombe kuturudisha nyuma kwaajili ya kutaka kusifiwa tu. Ubinafsi hauna nafasi kwenye karne hizi.