ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 43,602
- 89,932
Kiongozi kwani huoni tu uzi wake kaubadilisha kuwa kijiwe cha wanywa gongo.Hahaha kweli umepatia
Hana logic huyu, anajiita great thinker...
Kiongozi kwani huoni tu uzi wake kaubadilisha kuwa kijiwe cha wanywa gongo.Hahaha kweli umepatia
Hivi wazee wako dar pekee? kura yake kama rais alipigia wp? Nakerwa sana na neno wazee wa dar na huko ndo kuna wapiga diel wa taifa hili.Angeonge na wazee wangu wa kigera etuma akina mzee Majengo Magesa,Majaga kasundo Nyeura Nyangata ,Mabusi Matheo,Jera Maregeri na wengine wengi au wazee wa chato wampe usia kijana wao au wazee wa Namanyele
Dj kobo, hivi umetumwa na Gerson msigwa au unataka kuchukua nafasi yake?? ungesubiri Gerson athibitishe ndio kazi yake kuelezea Umma . Ahsante kwa taarifa lakini
Ha ha ha! Watamwelewa tu, jamaa anabana sana!Nasikia hakutakuwa na bahasha za khaki,sijui kama watamuelewa
Umenifurahisha mkuu. Ungejua nilivyokuwa na dread kucheki hiyo alert kwa vile nilishaona nimetofautiana na wewe, sikutegemea hili. JF kuna majibu! Aah aah.Shauri yako yule tayari ana ndoa yake
Kuiga mazuri sio kubaya...utamaduni huu wala hajauanzisha kikwete bali umekuweopo toka enzi za mwalimu...Rais magufuli kesho ataongea na wazee wa mkoa wa dsm kuanzia saa 8 mchana diamond jubilee, yale yale ya jk yameanza
Rais magufuli kesho ataongea na wazee wa mkoa wa dsm kuanzia saa 8 mchana diamond jubilee, yale yale ya jk yameanza
Unajuwa hawa watu hawana ushauri makini.Sio aongee na wazee wa DSM waseme anaongea na wazee wa nchi hii.
Then wapige marufuku manguo ya kijani mule ndani,Wananchi wengi wakiziona zile rangi wanaugua.
Toka nyerere afichwe na wazee hawa mwaka 1964 kwenye ghasia za jeshi marais wote wanawaheshimu hawa, hata angeingia lowasa ungesikia hivyo hivyo!