Rais Magufuli, hata Zanzibar ipo chini yako, kwanini unavumilia upindishwaji wa Sheria?

MWALLA

JF-Expert Member
Dec 12, 2006
16,992
10,497
1.jpg

Uchaguzi umeenda uzuri tu na mambo yamekuendea poaa kabisa umeukwaa uheshimiwa sana. Sasa! Ninajambo nakuuliza kutokana na maelezo yako katika kujielezea kwa wananchi kuwa utawatendea haki haswa wananchi wa chini ambao ndio wanateseka na hali ngumu ya maisha.

Je.. Ni kweli umedhamiria kutawala kihaki ukiwa ni amiri na jemedari mkuu kutawala nchi hii tanzania iliyounganisha nchi mbili yani tanganyika na zanzibar katika hali tuliyonayo hivi sasa?

Huko tanganyika mambo yamekunyookea ni poa na unaendesha nchi tanganyika kiulaini tu. Sasa jemedari wewe tukuelewe ni wa tanganyika tuuu au tanzania?????? Mbona hujitoi muhanga kama unavojitoa kwa mafisadi wanaoitafuna tanganyika ??? Ukishughulika na ufisadi wa kisiasa unaoendelea upande wa pili na wewe sio ukiwa.. Bali ni jemedari mkuu wa upande huooo???

Ufisadi wa jecha hivi huusikii au umeamua kuuchuna tu liwalo na liwe??

....LIWALO Na liweee aka ya jamaaa yetu fulani

au umejiandaa na tim yako kuwa lolote litakalotokea mtapambana ili muradi tu ccm iendelee kutawala upande huo wa pili kimabavu???

Hivii uvumilivu wa maalim huutambui??

Hiviii tuseme hao makamishna wa tume waliojitangaza kwenye vyombo vya habari nadhani sasa wamefikia wanne.. Kuwa maamuzi yaliyofanywa na jecha hawayatambui na hawajui katumwa na nani kufuta uchaguzi halali?

Jee hili nalo unalinyamazia kimya mpaka kiwake ndio utaonyesha ujemedari wakooo??

Baba baba baba magufuli chondechonde baba!!

Chama chako ccm kinatupeleka tusikokutaka na kitakapo waka si wana ccm wala wapinzani ndio watadhurika bali watanzania wote tutaathirika na janga hili la kubumba.

Wewe ndio amiri na jemedari mkuu wa nchi yote ya tanzania sio upande mmoja tu maana hata huko upande wa pili ambapo kura zako zimefanywa ni halali ndio zimekuweka hapo ulipo.na zile nyingine tulizopiga kumchagua yuleee zimefutwa. Sio mbaya tutaheshimiana tu muda ukifika.

Usijifanye huwaoni waliokupigia kura na waliokunyima wote ni wako hao.

Umesema wewe ni msema kweli na msema kweli ni mpenzi waaaaa?...

Nasubiri kuuona usema kweli wako.
 
UCHAGUZI UMEENDA UZURI TU NA MAMBO YAMEKUENDEA POAA KABISA UMEUKWAA UHESHIMIWA SANA. SASA! NINAJAMBO NAKUULIZA KUTOKANA NA MAELEZO YAKO KATIKA KUJIELEZEA KWA WANANCHI KUWA UTAWATENDEA HAKI HASWA WANANCHI WA CHINI AMBAO NDIO WANATESEKA NA HALI NGUMU YA MAISHA.

JE.. NI KWELI UMEDHAMIRIA KUTAWALA KIHAKI UKIWA NI AMIRI NA JEMEDARI MKUU KUTAWALA NCHI HII TANZANIA ILIYOUNGANISHA NCHI MBILI YANI TANGANYIKA NA ZANZIBAR KATIKA HALI TULIYONAYO HIVI SASA?

HUKO TANGANYIKA MAMBO YAMEKUNYOOKEA NI POA NA UNAENDESHA NCHI TANGANYIKA KIULAINI TU. SASA JEMEDARI WEWE TUKUELEWE NI WA TANGANYIKA TUUU AU TANZANIA?????? MBONA HUJITOI MUHANGA KAMA UNAVOJITOA KWA MAFISADI WANAOITAFUNA TANGANYIKA ??? UKISHUGHULIKA NA UFISADI WA KISIASA UNAOENDELEA UPANDE WA PILI NA WEWE SIO UKIWA.. BALI NI JEMEDARI MKUU WA UPANDE HUOOO???


UFISADI WA JECHA HIVI HUUSIKII AU UMEAMUA KUUCHUNA TU LIWALO NA LIWE??

....LIWALO NA LIWEEE AKA YA JAMAAA YETU FULANI;)

AU UMEJIANDAA NA TIM YAKO KUWA LOLOTE LITAKALOTOKEA MTAPAMBANA ILI MURADI TU CCM IENDELEE KUTAWALA UPANDE HUO WA PILI KIMABAVU???

HIVII UVUMILIVU WA MAALIM HUUTAMBUI??

HIVIII TUSEME HAO MAKAMISHNA WA TUME WALIOJITANGAZA KWENYE VYOMBO VYA HABARI NADHANI SASA WAMEFIKIA WANNE.. KUWA MAAMUZI YALIYOFANYWA NA JECHA HAWAYATAMBUI NA HAWAJUI KATUMWA NA NANI KUFUTA UCHAGUZI HALALI?

JEE HILI NALO UNALINYAMAZIA KIMYA MPAKA KIWAKE NDIO UTAONYESHA UJEMEDARI WAKOOO??

BABA BABA BABA MAGUFULI CHONDECHONDE BABA!!

CHAMA CHAKO CCM KINATUPELEKA TUSIKOKUTAKA NA KITAKAPO WAKA SI WANA CCM WALA WAPINZANI NDIO WATADHURIKA BALI WATANZANIA WOTE TUTAATHIRIKA NA JANGA HILI LA KUBUMBA.

WEWE NDIO AMIRI NA JEMEDARI MKUU WA NCHI YOTE YA TANZANIA SIO UPANDE MMOJA TU MAANA HATA HUKO UPANDE WA PILI AMBAPO KURA ZAKO ZIMEFANYWA NI HALALI NDIO ZIMEKUWEKA HAPO ULIPO.NA ZILE NYINGINE TULIZOPIGA KUMCHAGUA YULEEE ZIMEFUTWA. SIO MBAYA TUTAHESHIMIANA TU MUDA UKIFIKA.
USIJIFANYE HUWAONI WALIOKUPIGIA KURA NA WALIOKUNYIMA WOTE NI WAKO HAO.

UMESEMA WEWE NI MSEMA KWELI NA MSEMA KWELI NI MPENZI WAAAAA???.................


NASUBIRI KUUONA USEMA KWELI WAKO.
Mkuu naona umeandika kwa hisia kweli kwenda kwa jemedali wetu mambo ya msingi,lkn naona huyo jemedali bado yupo mapumziko makubwa baada ya kuudhuria sherehe za chama huko singida hivyo amechoka
 
UCHAGUZI UMEENDA UZURI TU NA MAMBO YAMEKUENDEA POAA KABISA UMEUKWAA UHESHIMIWA SANA. SASA! NINAJAMBO NAKUULIZA KUTOKANA NA MAELEZO YAKO KATIKA KUJIELEZEA KWA WANANCHI KUWA UTAWATENDEA HAKI HASWA WANANCHI WA CHINI AMBAO NDIO WANATESEKA NA HALI NGUMU YA MAISHA.

JE.. NI KWELI UMEDHAMIRIA KUTAWALA KIHAKI UKIWA NI AMIRI NA JEMEDARI MKUU KUTAWALA NCHI HII TANZANIA ILIYOUNGANISHA NCHI MBILI YANI TANGANYIKA NA ZANZIBAR KATIKA HALI TULIYONAYO HIVI SASA?

HUKO TANGANYIKA MAMBO YAMEKUNYOOKEA NI POA NA UNAENDESHA NCHI TANGANYIKA KIULAINI TU. SASA JEMEDARI WEWE TUKUELEWE NI WA TANGANYIKA TUUU AU TANZANIA?????? MBONA HUJITOI MUHANGA KAMA UNAVOJITOA KWA MAFISADI WANAOITAFUNA TANGANYIKA ??? UKISHUGHULIKA NA UFISADI WA KISIASA UNAOENDELEA UPANDE WA PILI NA WEWE SIO UKIWA.. BALI NI JEMEDARI MKUU WA UPANDE HUOOO???


UFISADI WA JECHA HIVI HUUSIKII AU UMEAMUA KUUCHUNA TU LIWALO NA LIWE??

....LIWALO NA LIWEEE AKA YA JAMAAA YETU FULANI;)

AU UMEJIANDAA NA TIM YAKO KUWA LOLOTE LITAKALOTOKEA MTAPAMBANA ILI MURADI TU CCM IENDELEE KUTAWALA UPANDE HUO WA PILI KIMABAVU???

HIVII UVUMILIVU WA MAALIM HUUTAMBUI??

HIVIII TUSEME HAO MAKAMISHNA WA TUME WALIOJITANGAZA KWENYE VYOMBO VYA HABARI NADHANI SASA WAMEFIKIA WANNE.. KUWA MAAMUZI YALIYOFANYWA NA JECHA HAWAYATAMBUI NA HAWAJUI KATUMWA NA NANI KUFUTA UCHAGUZI HALALI?

JEE HILI NALO UNALINYAMAZIA KIMYA MPAKA KIWAKE NDIO UTAONYESHA UJEMEDARI WAKOOO??

BABA BABA BABA MAGUFULI CHONDECHONDE BABA!!

CHAMA CHAKO CCM KINATUPELEKA TUSIKOKUTAKA NA KITAKAPO WAKA SI WANA CCM WALA WAPINZANI NDIO WATADHURIKA BALI WATANZANIA WOTE TUTAATHIRIKA NA JANGA HILI LA KUBUMBA.

WEWE NDIO AMIRI NA JEMEDARI MKUU WA NCHI YOTE YA TANZANIA SIO UPANDE MMOJA TU MAANA HATA HUKO UPANDE WA PILI AMBAPO KURA ZAKO ZIMEFANYWA NI HALALI NDIO ZIMEKUWEKA HAPO ULIPO.NA ZILE NYINGINE TULIZOPIGA KUMCHAGUA YULEEE ZIMEFUTWA. SIO MBAYA TUTAHESHIMIANA TU MUDA UKIFIKA.
USIJIFANYE HUWAONI WALIOKUPIGIA KURA NA WALIOKUNYIMA WOTE NI WAKO HAO.

UMESEMA WEWE NI MSEMA KWELI NA MSEMA KWELI NI MPENZI WAAAAA???.................


NASUBIRI KUUONA USEMA KWELI WAKO.
Ushauri wa bure kwa muheshimiwa sana....

umekuja na spidi nzuri tu ya kuirekebisha nchi hii iliyokuwa na inatafunwa na majasusi mafisadi.

kwakuwa spidi yako inatambulika na inaona imeweza kukubalika kwa wananchi wengi haswa upinzani ambao kwa upande fulani wanasema spidi hiyo ndio ilikuwa kilio chao wakisindikizwa na upinzani. kwa mtazamo hasi tunawezasema umejitoa muhanga kutumia sera iliyopangwa na upinzani. HONGERA SANA!!

USHAURI:
Fanya maamuzi magumu lkn ni mepesi kwa kujipunguzia baadhi ya kazi zako za haswa ni katika kiutawala.

NAKUOMBA MPATIE NAFASI MAALIM SEFU NAFASI YA KUIENDESHA ZANZIBAR KWA AMANI NA MTASHIRIKIANA KUTENGENEZA TANZANIA ILIYO NA MATUMAINI.

ni ushauri tu:rolleyes:
 
Mkuu unahangaika bure CCM wameshasema Magufuli hausiki na yanayotokea Zanzibar ,sasa sijui zile kura wanzanzibar walizo mpigia Magufuli zilikua na maana gani

Sio kuna mtu au watu wamesema Magufuli hahusiki na mambo ya uchaguzi wa Zanzibar.Katiba ya muungano na ile ya Zzanzibar na sheria ya TUME YA uchaguzi wa Zanzibar ndizo zimetamka hivyo kuwa haruhusiwi kuingilia mambo yasiyo ya kimuungano kama hilo la uchaguzi wa Zanzibar kwani si jambo la muungano kwenye katiba zote na sheria.

Kuhusu Wanzanibari waliompigia Magufuli ni kuwa walimpigia awe Raisi wa mambo ya muungano tu yaliyoko kwenye katiba tuliyokubaliana.Hawakumchagua kuwa Raisi wa mambo yasiyo ya muungano.Kwa mambo yasiyo ya muungano ndio huo uchaguzi wao waliofanya wanaourudia.ni mambo yao ruksa warudie hata mara mia wakitaka ni mambo yao ya ndani ambayo si ya muungano.

Someni katiba.Mkitaka Magufuli aingilie mambo ya Zanzibar shinikizeni mabadiliko ya katiba ya Zanzibar ile ya 2010 na mshinikize katiba ya muungano ibadilishwe na sheria ya tume ya ZEC ibadilishwe ili zimruhusu Raisi wa muungano aingilie kati uchaguzi wa Zanzibar pale ambapo kunapotokea sintofahamu.
 
Ushauri wa bure kwa muheshimiwa sana....

umekuja na spidi nzuri tu ya kuirekebisha nchi hii iliyokuwa na inatafunwa na majasusi mafisadi.

kwakuwa spidi yako inatambulika na inaona imeweza kukubalika kwa wananchi wengi haswa upinzani ambao kwa upande fulani wanasema spidi hiyo ndio ilikuwa kilio chao wakisindikizwa na upinzani. kwa mtazamo hasi tunawezasema umejitoa muhanga kutumia sera iliyopangwa na upinzani. HONGERA SANA!!

USHAURI:
Fanya maamuzi magumu lkn ni mepesi kwa kujipunguzia baadhi ya kazi zako za haswa ni katika kiutawala.

NAKUOMBA MPATIE NAFASI MAALIM SEFU NAFASI YA KUIENDESHA ZANZIBAR KWA AMANI NA MTASHIRIKIANA KUTENGENEZA TANZANIA ILIYO NA MATUMAINI.

ni ushauri tu:rolleyes:
MWALLA unajua moja kati miiko ya chama chetu cha mapinduzi ni kupindua pindua kila jambo linalo onekana kutaka kutuondoa madarakani
 
Umenena kwani maratizo ya Zanzibar wameyataka wenyewe kwa kuwa na katiba yao na kuamua kuwa na maamuzi juu ya nchi yao wenyewe. Tuwaache wapige ngoma ikinoga sisi tutacheza
 
Sio kuna mtu au watu wamesema Magufuli hahusiki na mambo ya uchaguzi wa Zanzibar.Katiba ya muungano na ile ya Zzanzibar na sheria ya TUME YA uchaguzi wa Zanzibar ndizo zimetamka hivyo kuwa haruhusiwi kuingilia mambo yasiyo ya kimuungano kama hilo la uchaguzi wa Zanzibar kwani si jambo la muungano kwenye katiba zote na sheria.

Kuhusu Wanzanibari waliompigia Magufuli ni kuwa walimpigia awe Raisi wa mambo ya muungano tu yaliyoko kwenye katiba tuliyokubaliana.Hawakumchagua kuwa Raisi wa mambo yasiyo ya muungano.Kwa mambo yasiyo ya muungano ndio huo uchaguzi wao waliofanya wanaourudia.ni mambo yao ruksa warudie hata mara mia wakitaka ni mambo yao ya ndani ambayo si ya muungano.

Someni katiba.Mkitaka Magufuli aingilie mambo ya Zanzibar shinikizeni mabadiliko ya katiba ya Zanzibar ile ya 2010 na mshinikize katiba ya muungano ibadilishwe na sheria ya tume ya ZEC ibadilishwe ili zimruhusu Raisi wa muungano aingilie kati uchaguzi wa Zanzibar pale ambapo kunapotokea sintofahamu.
Unampigia mbuzi gitaa tu hapa ,hata hivyo angaikeni mlipwe stahiki zenu Kama Jakaya alivyo wapigia Jaramba kwa Magufuli ,hivi nisaidie kitu kama Serikali ya bara haihusiki na uchaguzi Zanzibar ni kwanini wagombea uraisi Zanzibar wanaandaliwa Chamwino dodoma na sio kisiwandui Zanzibar ???
 
Wazenziberi nawapeni pole, poleni sana kwa maswahibu yalowafika, japo umeandika kwa hisia sana lkn Magu si kwamba haoni ama hasikii, anajua kila kitu, ndo maana wanajeshi Na polisi wanaranda randa mjini unguja Masaa 24, ushauri lilieni Zanzibar yenu kwa nguvu ni haki yenu, ni nchi yenu, nasie wabara tunaitamani Tanganyika yetu, tumechoshwa Na Tanzania, tunataka Tanganyika, naweza sema pengine Jecha alifanya kusudi ili tuipate Tanganyika yetu
 
ILI TWENDE SAWA NIELEZE MIPAKA YA UAMIRi NA UJEMEDARI MKUU WAKE ni wapi katika nchi hii ya TANZANIA??

Narudia tena soma katiba.Mambo ya majeshi ni swala la muungano limetajwa kabisha kwenye katiba.Kwa hiyo mzanzibari alipompigia kura magufuli alimpigia kura ili awe Amiri jeshi mkuu wa majeshi ambalo ni jambo la muungano.Majeshi ya JWTZ yako kikatiba kule Zanzibar .
Katiba imempa mamlaka ya uamiri Jeshi lakini haijampa mamlaka ya kuingilia mambo yasiyo ya muungano kama uchaguzi wa Zanzibar.Ndio maana nasema ombeni mabadiliko ya katiba YARUHUSU Raisi wa muungano kuwa na uwezo wa kuingilia mambo ya ndani ya Zanzibar yakiwemo ya uchaguzi
 
Wazenziberi nawapeni pole, poleni sana kwa maswahibu yalowafika, japo umeandika kwa hisia sana lkn Magu si kwamba haoni ama hasikii, anajua kila kitu, ndo maana wanajeshi Na polisi wanaranda randa mjini unguja Masaa 24, ushauri lilieni Zanzibar yenu kwa nguvu ni haki yenu, ni nchi yenu, nasie wabara tunaitamani Tanganyika yetu, tumechoshwa Na Tanzania, tunataka Tanganyika, naweza sema pengine Jecha alifanya kusudi ili tuipate Tanganyika yetu
UMENENA...
 
, anajua kila kitu, ndo maana wanajeshi Na polisi wanaranda randa mjini unguja Masaa 24,

Wanajeshi na polisi wako Zanzibar kikatiba.POLISI NA JWTZ NI MAJESHI YA MUUNGANO YAKO HURU KURANDA POPOTE,Iwe mitaani,nyumbani kwa Seif SHARIFF hamad AU KWA JECHA,kituo cha kupiga kura,kutangaza matokeo au popote.

Yako huru kuranda randa popote Tanganyika au Zanzibar.Hayajawekwa na Magufuli yamewekwa na katiba.
 
Amiri jeshi wa nchi asiyehusika na matatizo ya sehemu ya nchi yake! kweli Muungano wetu ni unique!
 
1.jpg

Uchaguzi umeenda uzuri tu na mambo yamekuendea poaa kabisa umeukwaa uheshimiwa sana. Sasa! Ninajambo nakuuliza kutokana na maelezo yako katika kujielezea kwa wananchi kuwa utawatendea haki haswa wananchi wa chini ambao ndio wanateseka na hali ngumu ya maisha.

Je.. Ni kweli umedhamiria kutawala kihaki ukiwa ni amiri na jemedari mkuu kutawala nchi hii tanzania iliyounganisha nchi mbili yani tanganyika na zanzibar katika hali tuliyonayo hivi sasa?

Huko tanganyika mambo yamekunyookea ni poa na unaendesha nchi tanganyika kiulaini tu. Sasa jemedari wewe tukuelewe ni wa tanganyika tuuu au tanzania?????? Mbona hujitoi muhanga kama unavojitoa kwa mafisadi wanaoitafuna tanganyika ??? Ukishughulika na ufisadi wa kisiasa unaoendelea upande wa pili na wewe sio ukiwa.. Bali ni jemedari mkuu wa upande huooo???

Ufisadi wa jecha hivi huusikii au umeamua kuuchuna tu liwalo na liwe??

....LIWALO Na liweee aka ya jamaaa yetu fulani

au umejiandaa na tim yako kuwa lolote litakalotokea mtapambana ili muradi tu ccm iendelee kutawala upande huo wa pili kimabavu???

Hivii uvumilivu wa maalim huutambui??

Hiviii tuseme hao makamishna wa tume waliojitangaza kwenye vyombo vya habari nadhani sasa wamefikia wanne.. Kuwa maamuzi yaliyofanywa na jecha hawayatambui na hawajui katumwa na nani kufuta uchaguzi halali?

Jee hili nalo unalinyamazia kimya mpaka kiwake ndio utaonyesha ujemedari wakooo??

Baba baba baba magufuli chondechonde baba!!

Chama chako ccm kinatupeleka tusikokutaka na kitakapo waka si wana ccm wala wapinzani ndio watadhurika bali watanzania wote tutaathirika na janga hili la kubumba.

Wewe ndio amiri na jemedari mkuu wa nchi yote ya tanzania sio upande mmoja tu maana hata huko upande wa pili ambapo kura zako zimefanywa ni halali ndio zimekuweka hapo ulipo.na zile nyingine tulizopiga kumchagua yuleee zimefutwa. Sio mbaya tutaheshimiana tu muda ukifika.

Usijifanye huwaoni waliokupigia kura na waliokunyima wote ni wako hao.

Umesema wewe ni msema kweli na msema kweli ni mpenzi waaaaa?...

Nasubiri kuuona usema kweli wako.
cc: tetty
 
1.jpg

Uchaguzi umeenda uzuri tu na mambo yamekuendea poaa kabisa umeukwaa uheshimiwa sana. Sasa! Ninajambo nakuuliza kutokana na maelezo yako katika kujielezea kwa wananchi kuwa utawatendea haki haswa wananchi wa chini ambao ndio wanateseka na hali ngumu ya maisha.

Je.. Ni kweli umedhamiria kutawala kihaki ukiwa ni amiri na jemedari mkuu kutawala nchi hii tanzania iliyounganisha nchi mbili yani tanganyika na zanzibar katika hali tuliyonayo hivi sasa?

Huko tanganyika mambo yamekunyookea ni poa na unaendesha nchi tanganyika kiulaini tu. Sasa jemedari wewe tukuelewe ni wa tanganyika tuuu au tanzania?????? Mbona hujitoi muhanga kama unavojitoa kwa mafisadi wanaoitafuna tanganyika ??? Ukishughulika na ufisadi wa kisiasa unaoendelea upande wa pili na wewe sio ukiwa.. Bali ni jemedari mkuu wa upande huooo???

Ufisadi wa jecha hivi huusikii au umeamua kuuchuna tu liwalo na liwe??

....LIWALO Na liweee aka ya jamaaa yetu fulani

au umejiandaa na tim yako kuwa lolote litakalotokea mtapambana ili muradi tu ccm iendelee kutawala upande huo wa pili kimabavu???

Hivii uvumilivu wa maalim huutambui??

Hiviii tuseme hao makamishna wa tume waliojitangaza kwenye vyombo vya habari nadhani sasa wamefikia wanne.. Kuwa maamuzi yaliyofanywa na jecha hawayatambui na hawajui katumwa na nani kufuta uchaguzi halali?

Jee hili nalo unalinyamazia kimya mpaka kiwake ndio utaonyesha ujemedari wakooo??

Baba baba baba magufuli chondechonde baba!!

Chama chako ccm kinatupeleka tusikokutaka na kitakapo waka si wana ccm wala wapinzani ndio watadhurika bali watanzania wote tutaathirika na janga hili la kubumba.

Wewe ndio amiri na jemedari mkuu wa nchi yote ya tanzania sio upande mmoja tu maana hata huko upande wa pili ambapo kura zako zimefanywa ni halali ndio zimekuweka hapo ulipo.na zile nyingine tulizopiga kumchagua yuleee zimefutwa. Sio mbaya tutaheshimiana tu muda ukifika.

Usijifanye huwaoni waliokupigia kura na waliokunyima wote ni wako hao.

Umesema wewe ni msema kweli na msema kweli ni mpenzi waaaaa?...

Nasubiri kuuona usema kweli wako.
Kasome Katiba ya JMT wacha kutusumbua hapa... Umepoteza muda wako kuandika utenzi kumbe solution ilikuwa ni ndogo tu soma katiba
 
CUF Zanzibar walikuwa hawautambui huo muungano na walikuwa hawahudhurii sherehe za maadhimisho mpaka Seif alipoukwaa u-vice ndo wakautambua.

Yaani mpaka wawe na masilahi fulani ndo wanajifanya kuutambua muungano kama ilivyo sasa ambapo hadi press conference,makamishina wa ZEC wanafanyia bara hadi debates juu ya huo mkwamo eti wanakuja kulumbania Blue Pearl!!

Ningekuwa rais ningepiga marufuku wao kuja kutupigia kelele huku juu ya mambo ya nchi yao.

Wamalizane wenyewe huko huko watakavyomalizana.
 
1.jpg

Uchaguzi umeenda uzuri tu na mambo yamekuendea poaa kabisa umeukwaa uheshimiwa sana. Sasa! Ninajambo nakuuliza kutokana na maelezo yako katika kujielezea kwa wananchi kuwa utawatendea haki haswa wananchi wa chini ambao ndio wanateseka na hali ngumu ya maisha.

Je.. Ni kweli umedhamiria kutawala kihaki ukiwa ni amiri na jemedari mkuu kutawala nchi hii tanzania iliyounganisha nchi mbili yani tanganyika na zanzibar katika hali tuliyonayo hivi sasa?

Huko tanganyika mambo yamekunyookea ni poa na unaendesha nchi tanganyika kiulaini tu. Sasa jemedari wewe tukuelewe ni wa tanganyika tuuu au tanzania?????? Mbona hujitoi muhanga kama unavojitoa kwa mafisadi wanaoitafuna tanganyika ??? Ukishughulika na ufisadi wa kisiasa unaoendelea upande wa pili na wewe sio ukiwa.. Bali ni jemedari mkuu wa upande huooo???

Ufisadi wa jecha hivi huusikii au umeamua kuuchuna tu liwalo na liwe??

....LIWALO Na liweee aka ya jamaaa yetu fulani

au umejiandaa na tim yako kuwa lolote litakalotokea mtapambana ili muradi tu ccm iendelee kutawala upande huo wa pili kimabavu???

Hivii uvumilivu wa maalim huutambui??

Hiviii tuseme hao makamishna wa tume waliojitangaza kwenye vyombo vya habari nadhani sasa wamefikia wanne.. Kuwa maamuzi yaliyofanywa na jecha hawayatambui na hawajui katumwa na nani kufuta uchaguzi halali?

Jee hili nalo unalinyamazia kimya mpaka kiwake ndio utaonyesha ujemedari wakooo??

Baba baba baba magufuli chondechonde baba!!

Chama chako ccm kinatupeleka tusikokutaka na kitakapo waka si wana ccm wala wapinzani ndio watadhurika bali watanzania wote tutaathirika na janga hili la kubumba.

Wewe ndio amiri na jemedari mkuu wa nchi yote ya tanzania sio upande mmoja tu maana hata huko upande wa pili ambapo kura zako zimefanywa ni halali ndio zimekuweka hapo ulipo.na zile nyingine tulizopiga kumchagua yuleee zimefutwa. Sio mbaya tutaheshimiana tu muda ukifika.

Usijifanye huwaoni waliokupigia kura na waliokunyima wote ni wako hao.

Umesema wewe ni msema kweli na msema kweli ni mpenzi waaaaa?...

Nasubiri kuuona usema kweli wako.
Kabla ya yote kwanza soma katiba ya Tanzania na baadaye soma ile ya Zanzibar.
Ukitafakati baada ya kusoma katiba hizo utagundu kwa nini inakuwa vigumu kwa JPM kujiingiza kisheria katika hili.
Na pia unapswa ufahamu kuwa wa zanzibari wenyewe kwenye zile walizoziita kero za muungano hawataki kuingiliwa na bara kwenye mambo yao JPM anaweza kuingia zbar pale zinapotokea ghasia zinazoweza kuondoa Amani na pale kazi yake ni kuweka mambo ya usalama sawa na kuendelea na mambo mengine. Mnamlaumu raisi bure kwa hili na kama kuna wakulaumiwa ni wazanzibari wenyewe na haswa wana cuf hivyo uhuru walioutaka ndani ya muungano ndiyo huo.
Sisi wanajamvi tunapaswa kutafakari mambo kuliko wengine kwani jamvi hili lina heshima kubwa ndani ya jamii yetu.
 
Back
Top Bottom