Ilikuwa ni kawaida kukuta vijana mjini kazi yake kupiga dili za kukwepa kodi na utapeli unaofanana na huo kwa connections kule TRA, TPA, BRELA, TBS, TFDA sasa hivi awamu mpya hakuna dili tena lazima utafute kazi halali.
Na kama ndo na shule hata ya NGUMBARU ilikukosa basi jiandae kulia machozi tu.
Heko Awamu hii kwa kuleta heshima ya kazi na shule pamoja na UBUNIFU
Na kama ndo na shule hata ya NGUMBARU ilikukosa basi jiandae kulia machozi tu.
Heko Awamu hii kwa kuleta heshima ya kazi na shule pamoja na UBUNIFU