Ndikwega
R I P
- Feb 1, 2012
- 5,979
- 5,524
- Thread starter
- #21
Nani aliyeyasababisha yote haya kama siyo ubovu wa viongozi wa kisiasa hawa hawa?Watumishi wa umma wanaongoza kwa uchelewaji ofisini kuwahi kutoka ofisini, kufanya shughuli zao za pembeni muda wa kazi halafu wanataka waongezwe mishahara nyie watu badilikeni kwanza....