minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 21,640
- 20,366
Malawi , Brazil , Nigeria walihamia miji mipya pasipo kujali changamoto Leo hii maisha yanaendelea na baadhi ya wizara na ofisi za balozi zipo miji ya zamani mitandao inafanya kazi , magufuli anajua kuwa CDA na wajanja wengi wamekula Pesa nyingi za kuijenga Dodoma lakini Kwa kuwa uhamiaji ulikuwa wa kusua sua ikawa vigumu kuwadhibiti . Sasa serikali ya Korea , China, ulaya na America wametoa Pesa hata waarabu wa Dubai nap wanakuja kuwekeza Dodoma kutakuwa na maendeleo ya kasi hakuna mfano.Umenena sawa!
Wahame kwa phase!
Mfano waziri Mkuu ameshasema anaenda so wizara zilizochini yake ziingie phase 1 ya safari ya Dodoma!
Hawa watamsaidia kupima gharama, lkn pia kwa kuwa wako na boss wao, then issues za coordination na mambo mengine ya kiutawala yatakuwa hayana huitaji wa kusafiri kwani wote watakuwa pamoja!
Bado wizara zifuatane kwa hatua ili tusiwe na confusion! Wakienda wizara Athen, waanze na waziri hadi wakurugenzi, then idara zao kuu zinakuja hadi wizara kàmili inatimia! Tathmini yao itaenda kwa wizara zinazofuata hadi safari itimie
Sio sifa kupeleka wizara hata kama zitafeli! Ila ni heshima kuwa na mchakato makini hata kama utachukua miaka 20 lkn uliofanyika kwa uhakika! Wakijipanga two ministry per year, hadi 2020 atakuwa kahamisha wizara 8, akifanikiwa second term anamalizia zilizobaki! Labda na speed tayari itakuwa juu vya kutosha hata kuruhusu wizara 4 hadi 5 kwa mwaka!