jameschanda
Member
- Jan 22, 2015
- 28
- 8
Leo Oktoba 19, 2016 imesambaa taarifa ikieleza kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo.
Kufuatia taarifa hiyo, Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, Gerson Msigwa amekanusha taarifa hiyo akieleza kuwa taarifa hiyo siyo ya kweli imetengenezwa na wahalifu hivyo amewataka wananchi kuipuuza.
Kufuatia taarifa hiyo, Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, Gerson Msigwa amekanusha taarifa hiyo akieleza kuwa taarifa hiyo siyo ya kweli imetengenezwa na wahalifu hivyo amewataka wananchi kuipuuza.