E emrema JF-Expert Member Nov 2, 2010 268 42 Feb 6, 2011 #1 Jamani tumezoea baada ya Uchaguzi Mh. Rais hupita mikoani kuwashukuru wananchi kwa kumpa ridhaa tena ya kuongoza. Safari hii vipi mbona hapiti au kuna nini?
Jamani tumezoea baada ya Uchaguzi Mh. Rais hupita mikoani kuwashukuru wananchi kwa kumpa ridhaa tena ya kuongoza. Safari hii vipi mbona hapiti au kuna nini?
B Bajabiri JF-Expert Member Jan 1, 2011 9,730 1,201 Feb 6, 2011 #2 kachoka,huko mikoan hakuna umeme,pia kuna maswali magumu atayajibu vipi?maana hayahtaj majibu rahsi,fikiria mfumuko wa bei,unavomgusa kila mtu,je ahad zake ameanza kuztekeleza? bora akae aje kuwaaga tu!
kachoka,huko mikoan hakuna umeme,pia kuna maswali magumu atayajibu vipi?maana hayahtaj majibu rahsi,fikiria mfumuko wa bei,unavomgusa kila mtu,je ahad zake ameanza kuztekeleza? bora akae aje kuwaaga tu!
G Gad ONEYA JF-Expert Member Oct 26, 2010 2,630 168 Feb 6, 2011 #4 Atakuja tu. In fact hii ni ngwe ya mwisho!
Rwamuhuru Member Dec 22, 2010 50 0 Feb 6, 2011 #5 kama atafanya namshauri ya kitaifa aje aifanyie Arusha
nziriye JF-Expert Member Jan 23, 2011 1,051 361 Feb 6, 2011 #6 hana muda wa kuwaste naona atakuwa anakusanya nguvu kujenga kajumba kake kule dodoma,