just in time
Member
- Jan 12, 2011
- 30
- 0
kasumba za kila siku!!!
Raisi ni kimeo kabisa ,wananchi Wamepetwa na janga na wengi wamepoteza maisha, then anadiriki kuwaambia watu warudi ngongo la mboto,Alikuwa wapi sikuzote asiwaambie wanajeshi wahamishe kambi hizo? nadhania alikuwa anapass suti yake ya kutembelea mabomu yaliyokwisha lipuka badala ya kutembelea raia walipokuwa hai.