Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Nyani,
Huoni kuwa mtoto yule alikuwa kaandaliwa? Siwezi amini kuwa hii ilitokea kibahati. Labda mtu aje aseme kuwa Mkuu huwa anakula Pipi na muda wote huwa anazo na aliamua kumgawia hizo Pipi huyo mtoto.
Vinginevyo kama alitoka Dar na hayo Mapipi aliyonunua au aliletewa kutoka Uarabuni na kuamua kuja KUYAGAWA MWENYEWE, hapo mie naona kuna kitu kinamiss. Kama alipewa mengi basi angeliwapatia hata wafanyakazi wake wapite na kuwagawia watoto au angezipeleka kwa watoto yatima.
Kama mtoto hata mie ningelipenda saaana nipewe hizo PIPI. Ila kwa RAIS kutoka na MAPIPI Dar hadi sijui Lindi na kuanza kuzigawa kwa watoto............ Yaani katika majukumu yake yoote, hili pia akalipa kipaumbele....... ngoja nikagawe Pipi Lindi?
Nilishaona Michael Jackson alipotembelea watoto yatima, akawa hana zawadi ya kuwapelekea kama ukumbusho wa yeye alikuwa hapo. Akaenda dukani na kununua CD zake na kuwapelekea hao watoto pamoja na zawadi nyingine nyingi. Kama Mwanamuziki, kila kitu kinakubalika. Ila kama Rais, kitu gani angeliwapelekea watoto ili kwa miaka mingi waje wamkumbuke? Hao watoto wakibaki kuwa WALALAHOI, milele watabaki wakimsifu. Ila kama Dogo akisoma na aje ajisifu kuwa alipewa Pipi na Kikwete, basi huyo FORM ONE itabidi akimbie shule kwa kuchekwa.
NB: Hivi alimpa au ALIM-MWAGIAGA mapipi?
Huoni kuwa mtoto yule alikuwa kaandaliwa? Siwezi amini kuwa hii ilitokea kibahati. Labda mtu aje aseme kuwa Mkuu huwa anakula Pipi na muda wote huwa anazo na aliamua kumgawia hizo Pipi huyo mtoto.
Vinginevyo kama alitoka Dar na hayo Mapipi aliyonunua au aliletewa kutoka Uarabuni na kuamua kuja KUYAGAWA MWENYEWE, hapo mie naona kuna kitu kinamiss. Kama alipewa mengi basi angeliwapatia hata wafanyakazi wake wapite na kuwagawia watoto au angezipeleka kwa watoto yatima.
Kama mtoto hata mie ningelipenda saaana nipewe hizo PIPI. Ila kwa RAIS kutoka na MAPIPI Dar hadi sijui Lindi na kuanza kuzigawa kwa watoto............ Yaani katika majukumu yake yoote, hili pia akalipa kipaumbele....... ngoja nikagawe Pipi Lindi?
Nilishaona Michael Jackson alipotembelea watoto yatima, akawa hana zawadi ya kuwapelekea kama ukumbusho wa yeye alikuwa hapo. Akaenda dukani na kununua CD zake na kuwapelekea hao watoto pamoja na zawadi nyingine nyingi. Kama Mwanamuziki, kila kitu kinakubalika. Ila kama Rais, kitu gani angeliwapelekea watoto ili kwa miaka mingi waje wamkumbuke? Hao watoto wakibaki kuwa WALALAHOI, milele watabaki wakimsifu. Ila kama Dogo akisoma na aje ajisifu kuwa alipewa Pipi na Kikwete, basi huyo FORM ONE itabidi akimbie shule kwa kuchekwa.
NB: Hivi alimpa au ALIM-MWAGIAGA mapipi?