Watanzania wenzangu mabadiliko ya kweli ya taifa hili hayataletwa na vyama vya siasa tunaona njia ileile CUF waliyopita CHADEMA wanaifuata. Kweli viongozi wote wa siasa bongo ni sawa na wachojali ni maslahi binafsi. Real Changes italetwa na watanzania watakapoamu kufanya hivyo na siyo vyama vya siasa. Kwa hili la Katiba CHADEMA tumeona mmepotoka mnakurupuka blia strategies. Kwani mmeshindwa kutumia kanuni ya 86. Pili mnakula matapishi yenu kwa kuwalalamikia CUF kumbe nanyi lenu ni hilo hilo.