Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 16,646
- 16,266
Kamembe bwana, kafupi... i knew lazima aji fotoe na Obamas
Marekeni anaenda kufanya nini wakati Waziri wake wa Mambo ya Nje yupo huko!!?
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa kimataifa Mhe. Waziri Benard Membe, katika picha ya pamoja na Rais Obama na Mama Michele Obama wakati wa hafla ya Viongozi wa Nchi Wanachama za Umoja wa Mataifa iliyoandaliwa na Mhe. Rais Barack Obama jijini New York. Mhe. Waziri Membe yuko New York akiongoza ujumbe wa Tanzania akimuwakilisha Mheshimiwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwenye Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.