Rais Kikwete ziarani Marekani na Canada - Oktoba 01, 2012

Kamembe bwana, kafupi... i knew lazima aji fotoe na Obamas


Marekeni anaenda kufanya nini wakati Waziri wake wa Mambo ya Nje yupo huko!!?

photo.JPG

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa kimataifa Mhe. Waziri Benard Membe, katika picha ya pamoja na Rais Obama na Mama Michele Obama wakati wa hafla ya Viongozi wa Nchi Wanachama za Umoja wa Mataifa iliyoandaliwa na Mhe. Rais Barack Obama jijini New York. Mhe. Waziri Membe yuko New York akiongoza ujumbe wa Tanzania akimuwakilisha Mheshimiwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwenye Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.
 
Hebu wacheni kuwafanya watanzania majuha kwa kiasi hiki hii si ziara ya kiserikali bali ni ya binafsi kwani amealikwa JK as an individual na amealikwa na watu wenye NGOs zaona project zao ambao wana interest kutekeleza matakwa yao hapa tz.

Lazima ifike mahali watanzania wajue kuwa kodi zao zinatumika visivyo kwenye hizi safari binafsi zinazofanywa na huyu jamaa halafu why him of all the presidents in Africa? who is he?

Hizi ni hidden agenda bana watu wanaalikwa as individuals halafu wanatumia mgongo wa serikali ya tz kufanikisha interest zao.Ili kumjua Jk vilivyo watu lazima wajiulize kwanini kwenye zile presentation muhimu e.g kuhutubia UN,huwa haendi yeye?

Anawatuma kina Membe yeye Jk siku zote anahudhuria kwenye hizi trip ambapo hataojiwa au kuwa interviewed kama tz president.Yeye hupenda kuhudhuria mikutano ambapo atakaa,atazungumza na kuondoka no challenges,hapo hujiona huru.

Lakini pale ambapo kuna challenges kama president huwa anasepa na kuwatupia kina Membe na Pinda au balozi wa tz UN.I hate it when i hear this guy is travelling abroad using my tax money for his personal gains/interests,really hate it, goddammit!
 
Marekeni anaenda kufanya nini wakati Waziri wake wa Mambo ya Nje yupo huko!!?

photo.JPG

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa kimataifa Mhe. Waziri Benard Membe, katika picha ya pamoja na Rais Obama na Mama Michele Obama wakati wa hafla ya Viongozi wa Nchi Wanachama za Umoja wa Mataifa iliyoandaliwa na Mhe. Rais Barack Obama jijini New York. Mhe. Waziri Membe yuko New York akiongoza ujumbe wa Tanzania akimuwakilisha Mheshimiwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwenye Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.

Nina wasi wasi na Hii Picha isije Kutumika kwenye Kampeni za Hapa Bongo kuwa mimi ni Kiongozi Bora ndio Maana nimepiga Picha na Rahisi wa Dunia!! Just Nafikiria Loudly!!
 
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS

Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: ikulumawasiliano@yahoo.com
press@ikulu.go.tz
Fax: 255-22-2113425


Hii kitu hii kwani hakuna kiswahili chake
hakuna kiswahili cha email au fax au website au hiyo Directorate


Mkuu wacha nijaribu ingawa kiswahili nilikiacha kidato cha nne...
Directorate =Kurugenzi
email = Barua pepe
fax = Nukushi
 
Mkuu wacha nijaribu ingawa kiswahili nilikiacha kidato cha nne...
Directorate =Kurugenzi
email = Barua pepe
fax = Nukushi

Asante sana Mkirua
kwani hapo wangeandika Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na hayo makorokoro mengine si ingekuwa sawa tuu ili na yule bibi yangu wa hapa Hungumalwa akiiona aweze kusoma
Halafu Mkirua umepotea sana aise nakutafuta kama shilingi ya mkoloni
 
Last edited by a moderator:
Safari njema ........... Watanzania wanategemea kwamba ukirudi utawapa taarifa kilichokupeleka, mafanikio uliyoyapata ....
 
Hii taarifa ya Ikulu ilivyopambwa, ni kama aliyeandika alikuwa anategemea upokeaji tofauti kwa sisi tuanaomlipia Rais nauli, haya bhana safari njema Mkuu, hata mimi nasafiri kesho naenda Kigoma......safari ni safari.
 
Vasco Da Gama.........marekani kama kwenda kukata gogo

saidia maskini! saidia baba! aliyekupa wewe ndio kaninyima mimi!

Duuuh......anaomba huku amekalia stuli ya dhahabu...very strange!! Nyani haoni kundule!
 
hii ndo tanzania bwana...jamaa kapata chance kaamua kuitumia...ivi hiyo gharama ya kusafirisha msururu wote huo haitatosha kusomesha watoto ambao hawana ada!!! na kubosha hata shule mbili za ukata!!!
 
Asante sana Mkirua
kwani hapo wangeandika Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na hayo makorokoro mengine si ingekuwa sawa tuu ili na yule bibi yangu wa hapa Hungumalwa akiiona aweze kusoma
Halafu Mkirua umepotea sana aise nakutafuta kama shilingi ya mkoloni
Mr Rocky nipo pilika tu za mjini. Ni kweli kuna kasumba ya kuchanganya lugha wakati yapo maneno yanayojitosheleza na yanaeleweka kabisa.. Huwa najiuliza kama kuna wengine wanaofanya kama sisi tena kwenye mawasiliano rasmi ya kiofisi na ofisi kuu ya nchi!!
 
Ahsante kwa taarifa mkuu,

Mkuu anakwenda mara kwa mara, ingawa kuna wawakilishi .. leo hii amekwenda wiki ijayo amerudi, wiki itayofuata ataondoka and the week after anarudi, na ile wiki(mwezi sasa) atarudi KULE KULE...sasa hivii ni kwa nini Rais wetu asikae huko huko hadi amalize "mikutano/ziara n.k" YOTE ndio arudi?

:biggrin1: ni kweli hata mimi ningeshauri watafute ikulu ndogo ya JK pale new york ili awe anapiga miezi 6 kule na miezi 6 huku...itasave gharama za mafuta ya ndege na malazi
 
safari zote hizo deni la taifa linakuwa zinatusaidia nini hakunaga biashara ya hasara .............
 
My god, Hivi Tanzania tutakuja kweli kupata Raisi mwingine wa aina hii, Ina sikitisha sana, na kuna kitu gani huko Marekani? Kwa nini sio Nchi kama

1. INDIA, INDONESIA, MALAYASIA, NA KAZALIKA? Make hizi nchi ndo kidogo zinaweza kutufaa,

Mbona taarifa haikueleza atafuatana na nani?
 
Mr Rocky nipo pilika tu za mjini. Ni kweli kuna kasumba ya kuchanganya lugha wakati yapo maneno yanayojitosheleza na yanaeleweka kabisa.. Huwa najiuliza kama kuna wengine wanaofanya kama sisi tena kwenye mawasiliano rasmi ya kiofisi na ofisi kuu ya nchi!!

Ikulu ilitakiwa iwe mfano katika kuchonganya lugha ila hapa inaonekana ndio inaongoza
Taarifa ya Kiswahili anwani zote za kiingereza Mkirua uzima ukiwepo hakuna shida mkuu pambana aise
 
Last edited by a moderator:
Taarifa maneno mengiiiiiii............ Kumbe mwishoe ni jamaa anaenda kula maisha hakuna lolote......
 
Kuna Umati wa watu WALIOKWENDA na BENARD MEMBE; Mawaziri wa Sheria Tanganyika na Wazanzibar;

Liberta Mulamula; Wapambe wa MEMBE; Mke wa MEMBE; KATIBU KIONGOZI n.k

Sasa Entourage YA KIKWETE inaingia NEW YORK; MKUTANO WA UN HAUJAMALIZIKA, Kundi lake

lazima liwe kubwa
Na Wapiga Picha - Kina Michuzi ? stypend $ 3,000.00 kwa siku Mbili na Hapo Wanapewa

Malazi.
..
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom