Mustaphagentleman
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 3,954
- 3,011
Ikiwa ni mwaka mmoja sasa tangu ulipoamua kikatiba na kisheria kupumzika kwa hiari baada ya kazi kubwa ulioifanyia nchi yetu Tanzania, Baba Mh JK ninakukumbuka sana hasa katika ucheshi wako, nakutakia afya njema Mh Rais mstaafu JK mungu akupe nguvu na afya tele.
Ipo siku hata Magu mtamkumbuka tu kwa uchapaji kazi wake....
Ni kweli ni lazima tuwakumbuke viongozi wetu
Ipo siku hata Magu mtamkumbuka tu kwa uchapaji kazi wake....
Unashindwa kuwakumbuka babu na wazazi wako walojitahidi kukuandalia misingi imara ya kujituma katika utafutaji , wewe unamkumbuka mtu asojua ata chimbuko lako!
hata leo Magu akiondoka, kesho watu watakuwa wameshasahau kama kuliwahi kuwepo rais alieitwa MaguIpo siku hata Magu mtamkumbuka tu kwa uchapaji kazi wake....
Kakwambia anamkumbuka kwa tabasamu lake mkuuUnamkumbuka kwa lipi?huyu ndo chanzo cha kutuletea hili janga lilipo sahizi.asingekuwa yeye leo tusingefika hapa.lakini ni jambo jema naye anasomeshwa namba japo namba yake haisomi kama yetu lakini anaiyonja joto ya jiwe.nimemuona juzi yuko na kuku wengi nikasema angalia asije akapata naye kideri.acha maneno wekaaa mziki bambataaaa...