Rais kikwete ukimya wako ni angamizo kwa taifa letu

SAGAI GALGANO

JF-Expert Member
Nov 13, 2009
43,707
60,756
Mheshimiwa Rais Kikwete, imekuwa kawaida sasa kwa wanachama wa CCM kufanya vurugu kwenye chaguzi ndogo na hata kufanya mauaji. Hali hii haitokei kwa bahati mbaya kwani ni kawaida ya CCM kila kwenye chaguzi ndogo hizi kupeleka vijana kwenye makambi na kuwapa mafunzo ya kigaidi kwa baraka za uongozi wa juu wa chama ambacho wewe ni mwenyekiti wake.

Yalitokea Tarime, Biharamulo,Busanda,Igunga ambapo makada wawili wa Chadema waliuawa kikatili na vijana hawa wanaopewa mafunzo ya kuua watu.

Arumeru Mashariki wametekwa watu na kuteswa mpaka kuharibiwa sehemu za siri, Mwanza wabunge wawili wa Chadema wamecharangwa mapanga, katika matukio yote haya hatujasikia wahusika wakichuliwa hatua za kisheria kwa uhalifu huu, kibaya zaidi ni ukimya wako juu ya ugaidi unaofanywa na wanachama wako. Ukimya wako Mh. Rais ni kiashiria kuwa umebariki vitendo hivi vya kigaidi ili kulinda utawala wenu dhalimu.

Ushauri wangu kwako Mh. Rais uvifute vyama vyote ibaki CCM peke yake ili kuokoa maisha ya watu wasiokuwa nahatia. Ukishindwa kuvifuta vyama hivi na kuendelea kukalia kimya ugaidi huu ujue nchi itaingia kwenye umwagaji mkubwa wa damu kwa ajili ya uroho wenu wa kubaki madarakani, na damu za watanzania hawa zitakuwa juu ya kichwa chako.
 
Wala hajali, alishatishia hata wafanyakazi kuwa mkiandamana nitatumia dola kuwatuliza, kiongozi anayejivunia dola si wa kuaminika tena, hana uchungu na wananchi.
 
Mimi naona mnamuonea
Aseme nini wakati hana la kusema??
Kama alishindwa kusema wakati wa mgomo wa madaktari unategemea atasema kwa ajili ya watu wachache waliojeruhuwa??

Tafadhali, hebu soma mchezo.
 
Hana uwezo wa kufuta vyama vya upinzani na kubakiza ccm. Kuhusu ukimya ni kwamba bado anasubiri mtoto wa mkulima aongee kisha nae afikirie nini tofauti na cha mtoto wa mkulima ili akakiongee kwa wazee wa darisalama.
 
Mheshimiwa Rais Kikwete, imekuwa kawaida sasa kwa wanachama wa CCM kufanya vurugu kwenye chaguzi ndogo na hata kufanya mauaji. Hali hii haitokei kwa bahati mbaya kwani ni kawaida ya CCM kila kwenye chaguzi ndogo hizi kupeleka vijana kwenye makambi na kuwapa mafunzo ya kigaidi kwa baraka za uongozi wa juu wa chama ambacho wewe ni mwenyekiti wake.

Yalitokea Tarime, Biharamulo,Busanda,Igunga ambapo makada wawili wa Chadema waliuawa kikatili na vijana hawa wanaopewa mafunzo ya kuua watu.

Arumeru Mashariki wametekwa watu na kuteswa mpaka kuharibiwa sehemu za siri, Mwanza wabunge wawili wa Chadema wamecharangwa mapanga, katika matukio yote haya hatujasikia wahusika wakichuliwa hatua za kisheria kwa uhalifu huu, kibaya zaidi ni ukimya wako juu ya ugaidi unaofanywa na wanachama wako. Ukimya wako Mh. Rais ni kiashiria kuwa umebariki vitendo hivi vya kigaidi ili kulinda utawala wenu dhalimu.

Ushauri wangu kwako Mh. Rais uvifute vyama vyote ibaki CCM peke yake ili kuokoa maisha ya watu wasiokuwa nahatia. Ukishindwa kuvifuta vyama hivi na kuendelea kukalia kimya ugaidi huu ujue nchi itaingia kwenye umwagaji mkubwa wa damu kwa ajili ya uroho wenu wa kubaki madarakani, na damu za watanzania hawa zitakuwa juu ya kichwa chako.

Mi labda sijakuelewa,awezaje kufuta chama chake cha CCM ikiwa yeye ndiyo mwenyekiti?
naye amechaguliwa Urais kupitia hicho chama akifuta atakuwa anamwakilisha nani?
halafu akivifuta vyama vingine kibaki ccm peke yake hili sijaelewa wewe unakiri mwenyewe kuwa ccm wanafanya fujo ume
diriki hata kueleza sehemu ambazo vifo vimetokea baada ya ccm kuleta fujo tena unataka vyama vingine vifutwe kibaki
CCM.sijalielewa.hili
 
Umeongea ukweli kabisa. Lakini unafiki na udhaifu wa JK ndio utakaoikomboa Tanzania kutoka mikononi mwa wahuni, madhalimu, mafisadi na wanyanganyi.
 
Mheshimiwa Rais Kikwete, imekuwa kawaida sasa kwa wanachama wa CCM kufanya vurugu kwenye chaguzi ndogo na hata kufanya mauaji. Hali hii haitokei kwa bahati mbaya kwani ni kawaida ya CCM kila kwenye chaguzi ndogo hizi kupeleka vijana kwenye makambi na kuwapa mafunzo ya kigaidi kwa baraka za uongozi wa juu wa chama ambacho wewe ni mwenyekiti wake.

Yalitokea Tarime, Biharamulo,Busanda,Igunga ambapo makada wawili wa Chadema waliuawa kikatili na vijana hawa wanaopewa mafunzo ya kuua watu.

Arumeru Mashariki wametekwa watu na kuteswa mpaka kuharibiwa sehemu za siri, Mwanza wabunge wawili wa Chadema wamecharangwa mapanga, katika matukio yote haya hatujasikia wahusika wakichuliwa hatua za kisheria kwa uhalifu huu, kibaya zaidi ni ukimya wako juu ya ugaidi unaofanywa na wanachama wako. Ukimya wako Mh. Rais ni kiashiria kuwa umebariki vitendo hivi vya kigaidi ili kulinda utawala wenu dhalimu.

Ushauri wangu kwako Mh. Rais uvifute vyama vyote ibaki CCM peke yake ili kuokoa maisha ya watu wasiokuwa nahatia. Ukishindwa kuvifuta vyama hivi na kuendelea kukalia kimya ugaidi huu ujue nchi itaingia kwenye umwagaji mkubwa wa damu kwa ajili ya uroho wenu wa kubaki madarakani, na damu za watanzania hawa zitakuwa juu ya kichwa chako.

Naamini kama hujakurupuka basi una upungufu wa akili, unasema ccm ndo chanzo cha vurugu katika chaguzi , then una suggest vyama vingine ndo vifutwe ili ibaki ccm watu wawe na amani. How comes? kwa nini usishauri hao wauaji ndo wafutwe ili watu wakae kwa amani. Tangu lini jambazi akivamia kijiji watu wanahama na kumwachia kijiji?

 
Mi labda sijakuelewa,awezaje kufuta chama chake cha CCM ikiwa yeye ndiyo mwenyekiti?
naye amechaguliwa Urais kupitia hicho chama akifuta atakuwa anamwakilisha nani?
halafu akivifuta vyama vingine kibaki ccm peke yake hili sijaelewa wewe unakiri mwenyewe kuwa ccm wanafanya fujo ume
diriki hata kueleza sehemu ambazo vifo vimetokea baada ya ccm kuleta fujo tena unataka vyama vingine vifutwe kibaki
CCM.sijalielewa.hili

Ni kweli hujanielewa mkuu, maana yangu ni kuwa kwa vile serikli dhalimu ya CCM ikiongozwa na JK haitaki kuendesha siasa za kistaarabu chini ya mfumo wa vyama vingi ambavyo viko kisheria basi airudishe nchi chini ya utawala wa chama kimoja, hapo hawatakuwa na mtu wa kugombana naye, kifupi ni kuwa ushauri niliompa ni kejeli kwa huyu kilaza JK (Janga la Kitaifa)
 
Naamini kama hujakurupuka basi una upungufu wa akili, unasema ccm ndo chanzo cha vurugu katika chaguzi , then una suggest vyama vingine ndo vifutwe ili ibaki ccm watu wawe na amani. How comes? kwa nini usishauri hao wauaji ndo wafutwe ili watu wakae kwa amani. Tangu lini jambazi akivamia kijiji watu wanahama na kumwachia kijiji?


Hapo kwenye bold,hii ni nchi huru unayo haki ya kuamini chochote,hata ungeamua kuamini kuwa mimi ndiye baba yako mzazi hakuna ambaye angekuzuia kuamini hivyo. Wewe ndiye umekurupuka, ungesoma kati kati ya mistari ungeelewa nilichomaanisha.
 
Mheshimiwa Rais Kikwete, imekuwa kawaida sasa kwa wanachama wa CCM kufanya vurugu kwenye chaguzi ndogo na hata kufanya mauaji. Hali hii haitokei kwa bahati mbaya kwani ni kawaida ya CCM kila kwenye chaguzi ndogo hizi kupeleka vijana kwenye makambi na kuwapa mafunzo ya kigaidi kwa baraka za uongozi wa juu wa chama ambacho wewe ni mwenyekiti wake.

Yalitokea Tarime, Biharamulo,Busanda,Igunga ambapo makada wawili wa Chadema waliuawa kikatili na vijana hawa wanaopewa mafunzo ya kuua watu.

Arumeru Mashariki wametekwa watu na kuteswa mpaka kuharibiwa sehemu za siri, Mwanza wabunge wawili wa Chadema wamecharangwa mapanga, katika matukio yote haya hatujasikia wahusika wakichuliwa hatua za kisheria kwa uhalifu huu, kibaya zaidi ni ukimya wako juu ya ugaidi unaofanywa na wanachama wako. Ukimya wako Mh. Rais ni kiashiria kuwa umebariki vitendo hivi vya kigaidi ili kulinda utawala wenu dhalimu.

Ushauri wangu kwako Mh. Rais uvifute vyama vyote ibaki CCM peke yake ili kuokoa maisha ya watu wasiokuwa nahatia. Ukishindwa kuvifuta vyama hivi na kuendelea kukalia kimya ugaidi huu ujue nchi itaingia kwenye umwagaji mkubwa wa damu kwa ajili ya uroho wenu wa kubaki madarakani, na damu za watanzania hawa zitakuwa juu ya kichwa chako.

Kumtaka JK akemee mfumo alio uasisi yeye mwenyewe ni sawa na kumtaka ng'ombe dume atoe maziwa.
 
Hapo kwenye bold,hii ni nchi huru unayo haki ya kuamini chochote,hata ungeamua kuamini kuwa mimi ndiye baba yako mzazi hakuna ambaye angekuzuia kuamini hivyo. Wewe ndiye umekurupuka, ungesoma kati kati ya mistari ungeelewa nilichomaanisha.

Mkuu kusoma na kuelewa ni vitu viwili tofauti msamehe bure tu !
 
ICC the HAGUE ipo as long as evidence zipo acha waendelee ata hayo mataifa makubwa wanayojipendekeza nikua wanaona mchezo mzima mda ulifika watawatupa kwenye madust bin
 
Wazee hapa naomba nipite kimya kimya nisijepelekwa cell na mh. Paw! Lakini nawashwa kumsema kidogo tu huyu Rais wa Pwani, Mods msinifunge tena ni kidogo tu msipige mayowe!! Hatuna Rais tuna GALASA!! Teh teh teh!
 
Back
Top Bottom