mwana wa africa
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 548
- 128
''sijui kwa nini tanzania ni masikini'' jk
Wewe ambae si legelege mbona huna hata ujumbe wa nyumba kumi? unanchekesha.
Acha USISIEM, jifunze kuongea FACTS. NINAWASIWASI NA ELIMU YAKO (FaizaFoxy). KAma sio umeishia MADRASA, sijuiiii. HOJA ZAKO HAZINA MASHIKO, ZAIDI YA KUTETEA UPANDE MMOJA.
Kweli kabisa siyo kigeugeu. Ni mtu makini na mahiri katika maamuzi ambayo labda yangeiweka nchi katika hali mbaya sana.
Kweli kilaza akiongoza hata anaoongoza nao watakuwa vilaza. Hivi kweli unaweza kuendesha ikulu kwa kutoa taarifa kwa umma kwa mtindo huu? Hii taarifa lazima imeandikiwa bar tena na mlevi. Haiingii akilini kama ikulu hawana domain na hawana mail exchange! Huu ni ujinga uliokithiri maana si mara ya kwanza kuletwa kwa umma barua kama hii zilishatokea nyingi tu.
Naomba mod ni watukane hawa wakurugenzi wa ikulu usiniban maana inatia uchugu sana. Mabali na ujinga uliopo kwenye contents Lakini makosa kwenye uandishi ndo yanaudhi kabisa!
Mod nisamehe maana inatia uchungu kwa vile kunawatu wanauwezo wa kukaa pale ikulu wakatoa taarifa makini lakini wamechukuliwa washika mananihi wa naninihi tu!
.