Rais Kikwete sio kigeugeu!

Kweli kabisa siyo kigeugeu. Ni mtu makini na mahiri katika maamuzi ambayo labda yangeiweka nchi katika hali mbaya sana.
Kweli siyo kigeugeu ila alipopewa ripoti aliisoma sana lakini hakuielewa kwani nasikia alikuwa amepoteza fahamu kama kawaida yake.
 
UNITEDREPUBLIC
DIRECTORATEOF

Hata headed letter imekosewa, jamani what is this? Its hard to believe.
 
Salva Rweyemamu na Premy Kibanga! tunatambua uwepo wanu Ikulu ni Kutoa taarifa tu na si kushauri kitaaluma kama kazi yenu ilivyo! Sisi huku nje tunaheshimu Kazi yenu kama Vibaraka mnaompoteza ****** kwa Habari za Majungu tu! Mimi binafsi nakuheshimu lakini kwa hili Salva umechemka ndugu yangu nakuomba uache ukuwadi na Umuelekeze Mheshimishwa Rais Kikwete ukweli na si Majungu ya Mgongoni, sababu huku nje mnaamini sisi ni vilaza zaidi andazi la jana but ukweli si huo inawezekana hata yale myafanyao IKULU yanadharauilwa kwa sababu yenu! Tunajua kwa nini Katibu Mkuu Kiongozi Luhanjo amemsafisha Jairo na kama haamini asipate tabu kutumia usalama wa taifa aende shule yoyote ya Secondary inayozalisha Zero kwa wingi kisha aulize nini hasa sababu ya Taifa kuingizwa kwenye Shughuli za Kisiasa na si Kiutendaji na Mtu kama Luhanjo! Salva tunajua unalinda kitumbua chako kisiingie Mchanga but kitu kimoja Ndugu yangu lazima ujue Neno hili Watanzania si Wajinga wakufikiri na Kupokea kila kinachotoka Ikulu, tunajua utendaji wa PM Pinda sisi si wageni na naye na Pia tunamjua Kikwete pia hivyo hakuna siri hata kidogo kati ya wawili hawa! Salva jirekebishe Mkuu shavu alilokupa Mshikaji ****** litumie Kwa kumlinda na si kumdhalilisha! tumemuona katika Maadhimisho ya jeshi la Polisi jamaa hana Raha kabisa sababu ni ninyi kumuingiza Mkenge kwa Majungu tu si njema hata kidogo, Laiti wazazi wangefufuliwa Leo wakaona jinsi mnavyomtenda Mtoto wao hakika wangeenda na ninyi huko waliko! Salva jirekebishe narudia tena jerekebishe!
 
UNITEDREPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATEOF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS


Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: ikulumawasiliano@yahoo.com
press@ikulu.go.tz
[h=4]Fax: 255-22-2113425[/h]



PRESIDENT’S OFFICE,
THE STATE HOUSE,
P.O. BOX 9120,
DAR ES SALAAM.
Tanzania.
[h=5][/h]



TAARIFAYA UFAFANUZI
Tarehe 21 Julai,mwaka huu, 2011, Katibu Mkuu Kiongozi Bwana Phillemon Luhanjo,akitumia madaraka yake ya Mamlaka ya Nidhamu ya Watumishi wa Umma,alitangaza hatua ya kumpa likizo ya malipo Katibu Mkuu wa Wizara yaNishatai na Madini, Bwana David Kitundu Jairo, ili kupisha uchunguzialiokuwa ameuagiza ufanyike dhidi yake.
Bwana Luhanjoalichukua hatua ya kumsimamisha Bw. Jairo kufuatia tuhuma zilizokuwazimeelekezwa dhidi yake na baadhi ya wabunge wakati wa mjadala kuhusuMakadirio na Matumizi ya Wizara ya Nishati na Madini kwa mwaka2011/12 katika kikao cha Bunge kilichofanyika tarehe 18 Julai, 2011.
Katika mjadalahuo, baadhi ya wabunge walihoji uhalali wa Wizara kuomba michango yafedha kutoka kwenye Taasisi zilizoko chini ya usimamizi wake ilikusaidia Bajeti ya Wizara hiyo kupita kwa urahisi.



Kufuatia hatuahiyo ya kumsimamisha kazi Bw. Jairo, Katibu Mkuu Kiongozi alimwombaMdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Bwana LudovickUtouh kufanya ukaguzi maalum na uchunguzi wa awali juu ya tuhumahizo.
Tarehe 9 Agosti,mwaka huu, 2011, Bw. Utouh aliwasilisha Ripoti yake kwa Katibu MkuuKiongozi, na tarehe 23, Agosti, 2011, Katibu Mkuu Kiongoziakiambatana na Bw. Utouh alitangaza mbele ya waandishi wa habarimatokeo ya ukaguzi huo maalum na uchunguzi wa awali juu ya tuhumadhidi ya Bw. Jairo.
Katika Ripoti yakembele ya waandishi wa habari, Bw. Utouh alihitimisha:“Ukaguzi maalum haukuthibitisha kuwepo kwa usahihi wa tuhumazilizotolewa dhidi ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Bw.David Kitundu Jairo.”
Kufuatia Ripotihiyo ya Bw. Utouh, Katibu Mkuu Kiongozi naye aliwaambia waandishi wahabari: “Matokeoya uchunguzi huo ni kwamba tuhuma zilizotolewa Bungeni tarehe 18Julai, 2011, hazikuweza kuthibitika. Kutokana na matokeo haya yauchunguzi wa awali, mimi kama Mamlaka ya Nidhamu ya Katibu Mkuu,Nishati na Madini, Bwana David Kitundu Jairo, sitaweza kuendelea nahatua ya pili ya kumpa taarifa ya tuhuma (notice) na Hati yaMashitaka kwa sababu Bwana David Kitundu Jairo, hajapatikana na kosala kinidhamu (disciplinary offence) kwa mujibu wa Taarifa ya UkaguziMaalum.”
Alihitimisha:“Kufuatiamatokeo ya taarifa hii ya awali na kwa mamlaka niliyonayo kwa mujibuwa Sheria Na. 8 ya Utumishi Umma ya Mwaka 2002 na kanuni zake zaMwaka 2003, NINAAMURU BWANA DAVID KITUNDU JAIRO AREJEE KAZINI KUANZIASIKU YA JUMATANO, TAREHE 24 AGOSTI, 2011.”
KURUGENZI YAMAWASILIANO YA RAIS, IKULU,inapenda kutoa ufafanuzi kuwa baada ya kupokea taarifa ya uchunguziya CAG na uamuzi wa Katibu Mkuu Kiongozi kuhusu suala hilo asubuhi yatarehe 25 Agosti, 2011, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, Rais waJamhuri ya Muungano wa Tanzania, aliamua kuwa Ndugu Jairo asirudikazini mpaka kwanza yeye Rais atapoamua namna gani ya kurudi kazini,lini na wapi.
Katibu MkuuKiongozi alifikisha uamuzi huo wa Rais kwa Ndugu David Jairo ambayemapema asubuhi ya siku hiyo alikuwa ameripoti kazini. Ndugu Jairoalitii uamuzi huo wa Rais.
Tunapendakusisitiza kuwa Mheshimiwa Rais hawaja kigeugeu kwa sababu alifanyauamuzi mmoja tu baada ya kupokea taarifa kutoka kwa Katibu MkuuKiongozi.
Imetolewana Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu,
Dares Salaam.
26Agosti, 2011
Hivi ni kwanini mnapenda kuwafanya watanzania kuwa ni wapumbavu kwa kiwango hicho?
Rais alimuagiza Katibu Mkuu Kiongozi kulifanyia uchunguzi suala la katibu mkuu wa wizara ya madini, ni dhahiri baada ya uchunguzi alitakiwa airudishe kwa mheshimiwa rais kabla ya kutolewa hewani?
Je kwa mchezo uliochezeka hapa tuamini kuwa rais siye anaefanya maamuzi pale ikulu? je tuamini kuwa pale ikulu tuna zaidi ya rais mmoja, je tuamini kuwa hata Ikulu sasa wanampuuza rais?
Kama hivyo sivyo basi ukweli ni kuwa Katibu Mkuu kiongoz asingejikurupukia kupeleka kwenye vyombo vya habari report jambo ambalo hata waziri mkuu alizuiwa kulichukulia hatua yoyote. Rais ni lazima alionyeshwa hii taarifa wakaijadili na kuafikiana kuwa sasa ni sahihi kuitoa kwenye public,, na hapo ndipo ukigeu-geu linapoibuka, na bahati nzuri katikajambo hili taarifa ya Ikulu ndiyo imekuwa ya kwanza kutumia hili neno'kigeu-geu'.
Ili taarifa ya ikulu iweze ku-make sense ilitakiwa iwe na tamko la kumsimamisha kazi au kumfukuza kazi Katibu mkuu kiongozi kwa ku-play behind the presidnet's back na kutoa taarifa kinyume na utaratibu na hivyo kuhatarisha usalama wa taifa....bila ya hivyo hali ya ukigeu geu inabaki
 
ʞontɹact Sniper;2413338 said:
Duh.......iyo ni binafsi au ya Ikulu? Ikulu haina domain? Au kuna nini kinaendelea hapa?
<br />
<br />
Hata mimi nimejiuliza hili, hii si aibu jamani? Yaani hata hili? Ni zaidi ya ukigeu geu wanaoupinga kwa nguvu, umeona na hizo typing errors? Kazi tunayo na hii mimbwiga!!
 
Kweli kabisa siyo kigeugeu. Ni mtu makini na mahiri katika maamuzi ambayo labda yangeiweka nchi katika hali mbaya sana.
Hata bibi yako wa tarime asiyejua kuandika wala kusoma akijua pumba unazoandika humu atakudharau na atakuona mjinga.
 
Sina uhakika kama Mh Raisi amesoma barua hii kabla ya kwenda hewani... hainiingilii akilini kuwa imeandikwa na Ikulu, maana ina mapungufu mengi sana ni aibu kwa kweli hata ujumbe uliokusudiwa umekaa vibaya sana naasikitika

Kaiona sana....huo ndo uwezo wao wa kufikiri, hapo wenyewe wanaona ujumbe wao ni makini mno na unatosha kabisa kuwashawishi watu waamini wanachokisema.
 
&#670;ont&#633;act Sniper;2413370 said:
Hivi ni kwanini mnapenda kuwafanya watanzania kuwa ni wapumbavu kwa kiwango hicho?
Rais alimuagiza Katibu Mkuu Kiongozi kulifanyia uchunguzi suala la katibu mkuu wa wizara ya madini, ni dhahiri baada ya uchunguzi alitakiwa airudishe kwa mheshimiwa rais kabla ya kutolewa hewani?
Je kwa mchezo uliochezeka hapa tuamini kuwa rais siye anaefanya maamuzi pale ikulu? je tuamini kuwa pale ikulu tuna zaidi ya rais mmoja, je tuamini kuwa hata Ikulu sasa wanampuuza rais?
Kama hivyo sivyo basi ukweli ni kuwa Katibu Mkuu kiongoz asingejikurupukia kupeleka kwenye vyombo vya habari report jambo ambalo hata waziri mkuu alizuiwa kulichukulia hatua yoyote. Rais ni lazima alionyeshwa hii taarifa wakaijadili na kuafikiana kuwa sasa ni sahihi kuitoa kwenye public,, na hapo ndipo ukigeu-geu linapoibuka, na bahati nzuri katikajambo hili taarifa ya Ikulu ndiyo imekuwa ya kwanza kutumia hili neno'kigeu-geu'.
Ili taarifa ya ikulu iweze ku-make sense ilitakiwa iwe na tamko la kumsimamisha kazi au kumfukuza kazi Katibu mkuu kiongozi kwa ku-play behind the presidnet's back na kutoa taarifa kinyume na utaratibu na hivyo kuhatarisha usalama wa taifa....bila ya hivyo hali ya ukigeu geu inabaki

Haswaa Mkuu ama sivyo watabaki kuwa vigeugeu!
 
Atakuwa sio makini huyu RAIS,
Au kuna watu wanamsaidia kuongoza NCHI,
Kazi imemshinda.
 
UNITEDREPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATEOF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS


Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: ikulumawasiliano@yahoo.com
press@ikulu.go.tz
[h=4]Fax: 255-22-2113425[/h]





PRESIDENT'S OFFICE,
THE STATE HOUSE,
P.O. BOX 9120,
DAR ES SALAAM.
Tanzania.
[h=5][/h]



TAARIFAYA UFAFANUZI
Tarehe 21 Julai,mwaka huu, 2011, Katibu Mkuu Kiongozi Bwana Phillemon Luhanjo,akitumia madaraka yake ya Mamlaka ya Nidhamu ya Watumishi wa Umma,alitangaza hatua ya kumpa likizo ya malipo Katibu Mkuu wa Wizara yaNishatai na Madini, Bwana David Kitundu Jairo, ili kupisha uchunguzialiokuwa ameuagiza ufanyike dhidi yake.
Bwana Luhanjoalichukua hatua ya kumsimamisha Bw. Jairo kufuatia tuhuma zilizokuwazimeelekezwa dhidi yake na baadhi ya wabunge wakati wa mjadala kuhusuMakadirio na Matumizi ya Wizara ya Nishati na Madini kwa mwaka2011/12 katika kikao cha Bunge kilichofanyika tarehe 18 Julai, 2011.
Katika mjadalahuo, baadhi ya wabunge walihoji uhalali wa Wizara kuomba michango yafedha kutoka kwenye Taasisi zilizoko chini ya usimamizi wake ilikusaidia Bajeti ya Wizara hiyo kupita kwa urahisi.



Kufuatia hatuahiyo ya kumsimamisha kazi Bw. Jairo, Katibu Mkuu Kiongozi alimwombaMdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Bwana LudovickUtouh kufanya ukaguzi maalum na uchunguzi wa awali juu ya tuhumahizo.
Tarehe 9 Agosti,mwaka huu, 2011, Bw. Utouh aliwasilisha Ripoti yake kwa Katibu MkuuKiongozi, na tarehe 23, Agosti, 2011, Katibu Mkuu Kiongoziakiambatana na Bw. Utouh alitangaza mbele ya waandishi wa habarimatokeo ya ukaguzi huo maalum na uchunguzi wa awali juu ya tuhumadhidi ya Bw. Jairo.
Katika Ripoti yakembele ya waandishi wa habari, Bw. Utouh alihitimisha:"Ukaguzi maalum haukuthibitisha kuwepo kwa usahihi wa tuhumazilizotolewa dhidi ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Bw.David Kitundu Jairo."
Kufuatia Ripotihiyo ya Bw. Utouh, Katibu Mkuu Kiongozi naye aliwaambia waandishi wahabari: "Matokeoya uchunguzi huo ni kwamba tuhuma zilizotolewa Bungeni tarehe 18Julai, 2011, hazikuweza kuthibitika. Kutokana na matokeo haya yauchunguzi wa awali, mimi kama Mamlaka ya Nidhamu ya Katibu Mkuu,Nishati na Madini, Bwana David Kitundu Jairo, sitaweza kuendelea nahatua ya pili ya kumpa taarifa ya tuhuma (notice) na Hati yaMashitaka kwa sababu Bwana David Kitundu Jairo, hajapatikana na kosala kinidhamu (disciplinary offence) kwa mujibu wa Taarifa ya UkaguziMaalum."
Alihitimisha:"Kufuatiamatokeo ya taarifa hii ya awali na kwa mamlaka niliyonayo kwa mujibuwa Sheria Na. 8 ya Utumishi Umma ya Mwaka 2002 na kanuni zake zaMwaka 2003, NINAAMURU BWANA DAVID KITUNDU JAIRO AREJEE KAZINI KUANZIASIKU YA JUMATANO, TAREHE 24 AGOSTI, 2011."
KURUGENZI YAMAWASILIANO YA RAIS, IKULU,inapenda kutoa ufafanuzi kuwa baada ya kupokea taarifa ya uchunguziya CAG na uamuzi wa Katibu Mkuu Kiongozi kuhusu suala hilo asubuhi yatarehe 25 Agosti, 2011, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, Rais waJamhuri ya Muungano wa Tanzania, aliamua kuwa Ndugu Jairo asirudikazini mpaka kwanza yeye Rais atapoamua namna gani ya kurudi kazini,lini na wapi.
Katibu MkuuKiongozi alifikisha uamuzi huo wa Rais kwa Ndugu David Jairo ambayemapema asubuhi ya siku hiyo alikuwa ameripoti kazini. Ndugu Jairoalitii uamuzi huo wa Rais.
Tunapendakusisitiza kuwa Mheshimiwa Rais hawaja kigeugeu kwa sababu alifanyauamuzi mmoja tu baada ya kupokea taarifa kutoka kwa Katibu MkuuKiongozi. Na uamuzi huo aliufanya kabla ya Bunge kulizungumzia sualahilo na hivyo uamuzi huo wa Rais haukutokana na shinikizo la Bunge.Pamoja na kumweleza Katibu Mkuu Kiongozi, Rais pia alimfahamishaWaziri Mkuu kuhusu uamuzi wake huo asubuhi hiyo ya tarehe 25, 2011.
Aidha, tunapendakufafanua zaidi kwamba Katibu Mkuu Kiongozi ametimiza wajibu wakeipasavyo kama Mamlaka ya Nidhamu kwa Katibu Mkuu kwa mujibu waSheria, Kanuni na Taratibu za Utumishi wa Umma. Mheshimiwa Rais, kwaupande wake, ametumia madaraka yake kama Mamlaka ya Ajira ya KatibuMkuu. Hakuna suala la kujichanganya wala ukigeugeu ndani ya Serikalikuhusu suala hili.
Mwisho.
Imetolewana Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu,
Dares Salaam.
26Agosti, 2011


jamani ..WHAT IS THIS ..AIBU GANI HII STATEMENT IMEKOSEWA ...SPELLING MISTAKES ,NO COMMAS,SPACE...misused appostrophes..etc..Hii inaaibisha kabisa weledi[proffessionalism]...yaani inaonekana hata report imetolewa kwa kukurupuka...its seems hii taarifa imetolewa kwa influence tu na sio maandalizi yoyote..as if Kikwete alikuwa amewasimamia kina Primi kwenye PC waitoe taarifa ya kumsafisha huku anagomba kwa ukali ....crap of the year!!!!!
 
UNITEDREPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATEOF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS


Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: ikulumawasiliano@yahoo.com
press@ikulu.go.tz
[h=4]Fax: 255-22-2113425[/h]





PRESIDENT’S OFFICE,
THE STATE HOUSE,
P.O. BOX 9120,
DAR ES SALAAM.
Tanzania.
[h=5][/h]



TAARIFAYA UFAFANUZI
Tarehe 21 Julai,mwaka huu, 2011, Katibu Mkuu Kiongozi Bwana Phillemon Luhanjo,akitumia madaraka yake ya Mamlaka ya Nidhamu ya Watumishi wa Umma,alitangaza hatua ya kumpa likizo ya malipo Katibu Mkuu wa Wizara yaNishatai na Madini, Bwana David Kitundu Jairo, ili kupisha uchunguzialiokuwa ameuagiza ufanyike dhidi yake.
Bwana Luhanjoalichukua hatua ya kumsimamisha Bw. Jairo kufuatia tuhuma zilizokuwazimeelekezwa dhidi yake na baadhi ya wabunge wakati wa mjadala kuhusuMakadirio na Matumizi ya Wizara ya Nishati na Madini kwa mwaka2011/12 katika kikao cha Bunge kilichofanyika tarehe 18 Julai, 2011.
Katika mjadalahuo, baadhi ya wabunge walihoji uhalali wa Wizara kuomba michango yafedha kutoka kwenye Taasisi zilizoko chini ya usimamizi wake ilikusaidia Bajeti ya Wizara hiyo kupita kwa urahisi.



Kufuatia hatuahiyo ya kumsimamisha kazi Bw. Jairo, Katibu Mkuu Kiongozi alimwombaMdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Bwana LudovickUtouh kufanya ukaguzi maalum na uchunguzi wa awali juu ya tuhumahizo.
Tarehe 9 Agosti,mwaka huu, 2011, Bw. Utouh aliwasilisha Ripoti yake kwa Katibu MkuuKiongozi, na tarehe 23, Agosti, 2011, Katibu Mkuu Kiongoziakiambatana na Bw. Utouh alitangaza mbele ya waandishi wa habarimatokeo ya ukaguzi huo maalum na uchunguzi wa awali juu ya tuhumadhidi ya Bw. Jairo.
Katika Ripoti yakembele ya waandishi wa habari, Bw. Utouh alihitimisha:“Ukaguzi maalum haukuthibitisha kuwepo kwa usahihi wa tuhumazilizotolewa dhidi ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Bw.David Kitundu Jairo.”
Kufuatia Ripotihiyo ya Bw. Utouh, Katibu Mkuu Kiongozi naye aliwaambia waandishi wahabari: “Matokeoya uchunguzi huo ni kwamba tuhuma zilizotolewa Bungeni tarehe 18Julai, 2011, hazikuweza kuthibitika. Kutokana na matokeo haya yauchunguzi wa awali, mimi kama Mamlaka ya Nidhamu ya Katibu Mkuu,Nishati na Madini, Bwana David Kitundu Jairo, sitaweza kuendelea nahatua ya pili ya kumpa taarifa ya tuhuma (notice) na Hati yaMashitaka kwa sababu Bwana David Kitundu Jairo, hajapatikana na kosala kinidhamu (disciplinary offence) kwa mujibu wa Taarifa ya UkaguziMaalum.”
Alihitimisha:“Kufuatiamatokeo ya taarifa hii ya awali na kwa mamlaka niliyonayo kwa mujibuwa Sheria Na. 8 ya Utumishi Umma ya Mwaka 2002 na kanuni zake zaMwaka 2003, NINAAMURU BWANA DAVID KITUNDU JAIRO AREJEE KAZINI KUANZIASIKU YA JUMATANO, TAREHE 24 AGOSTI, 2011.”
KURUGENZI YAMAWASILIANO YA RAIS, IKULU,inapenda kutoa ufafanuzi kuwa baada ya kupokea taarifa ya uchunguziya CAG na uamuzi wa Katibu Mkuu Kiongozi kuhusu suala hilo asubuhi yatarehe 25 Agosti, 2011, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, Rais waJamhuri ya Muungano wa Tanzania, aliamua kuwa Ndugu Jairo asirudikazini mpaka kwanza yeye Rais atapoamua namna gani ya kurudi kazini,lini na wapi.
Katibu MkuuKiongozi alifikisha uamuzi huo wa Rais kwa Ndugu David Jairo ambayemapema asubuhi ya siku hiyo alikuwa ameripoti kazini. Ndugu Jairoalitii uamuzi huo wa Rais.
Tunapendakusisitiza kuwa Mheshimiwa Rais hawaja kigeugeu kwa sababu alifanyauamuzi mmoja tu baada ya kupokea taarifa kutoka kwa Katibu MkuuKiongozi. Na uamuzi huo aliufanya kabla ya Bunge kulizungumzia sualahilo na hivyo uamuzi huo wa Rais haukutokana na shinikizo la Bunge.Pamoja na kumweleza Katibu Mkuu Kiongozi, Rais pia alimfahamishaWaziri Mkuu kuhusu uamuzi wake huo asubuhi hiyo ya tarehe 25, 2011.
Aidha, tunapendakufafanua zaidi kwamba Katibu Mkuu Kiongozi ametimiza wajibu wakeipasavyo kama Mamlaka ya Nidhamu kwa Katibu Mkuu kwa mujibu waSheria, Kanuni na Taratibu za Utumishi wa Umma. Mheshimiwa Rais, kwaupande wake, ametumia madaraka yake kama Mamlaka ya Ajira ya KatibuMkuu. Hakuna suala la kujichanganya wala ukigeugeu ndani ya Serikalikuhusu suala hili.
Mwisho.
Imetolewana Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu,
Dares Salaam.
26Agosti, 2011


jamani ..WHAT IS THIS ..AIBU GANI HII STATEMENT IMEKOSEWA ...SPELLING MISTAKES ,NO COMMAS,SPACE...misused appostrophes..etc..Hii inaaibisha kabisa weledi[proffessionalism]...yaani inaonekana hata report imetolewa kwa kukurupuka...its seems hii taarifa imetolewa kwa influence tu na sio maandalizi yoyote..as if Kikwete alikuwa amewasimamia kina Primi kwenye PC waitoe taarifa ya kumsafisha huku anagomba kwa ukali ....crap of the year!!!!!
 
UNITEDREPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATEOF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS


Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: ikulumawasiliano@yahoo.com
press@ikulu.go.tz
[h=4]Fax: 255-22-2113425[/h]





PRESIDENT'S OFFICE,
THE STATE HOUSE,
P.O. BOX 9120,
DAR ES SALAAM.
Tanzania.
[h=5][/h]



TAARIFAYA UFAFANUZI
Tarehe 21 Julai,mwaka huu, 2011, Katibu Mkuu Kiongozi Bwana Phillemon Luhanjo,akitumia madaraka yake ya Mamlaka ya Nidhamu ya Watumishi wa Umma,alitangaza hatua ya kumpa likizo ya malipo Katibu Mkuu wa Wizara yaNishatai na Madini, Bwana David Kitundu Jairo, ili kupisha uchunguzialiokuwa ameuagiza ufanyike dhidi yake.
Bwana Luhanjoalichukua hatua ya kumsimamisha Bw. Jairo kufuatia tuhuma zilizokuwazimeelekezwa dhidi yake na baadhi ya wabunge wakati wa mjadala kuhusuMakadirio na Matumizi ya Wizara ya Nishati na Madini kwa mwaka2011/12 katika kikao cha Bunge kilichofanyika tarehe 18 Julai, 2011.
Katika mjadalahuo, baadhi ya wabunge walihoji uhalali wa Wizara kuomba michango yafedha kutoka kwenye Taasisi zilizoko chini ya usimamizi wake ilikusaidia Bajeti ya Wizara hiyo kupita kwa urahisi.



Kufuatia hatuahiyo ya kumsimamisha kazi Bw. Jairo, Katibu Mkuu Kiongozi alimwombaMdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Bwana LudovickUtouh kufanya ukaguzi maalum na uchunguzi wa awali juu ya tuhumahizo.
Tarehe 9 Agosti,mwaka huu, 2011, Bw. Utouh aliwasilisha Ripoti yake kwa Katibu MkuuKiongozi, na tarehe 23, Agosti, 2011, Katibu Mkuu Kiongoziakiambatana na Bw. Utouh alitangaza mbele ya waandishi wa habarimatokeo ya ukaguzi huo maalum na uchunguzi wa awali juu ya tuhumadhidi ya Bw. Jairo.
Katika Ripoti yakembele ya waandishi wa habari, Bw. Utouh alihitimisha:"Ukaguzi maalum haukuthibitisha kuwepo kwa usahihi wa tuhumazilizotolewa dhidi ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Bw.David Kitundu Jairo."
Kufuatia Ripotihiyo ya Bw. Utouh, Katibu Mkuu Kiongozi naye aliwaambia waandishi wahabari: "Matokeoya uchunguzi huo ni kwamba tuhuma zilizotolewa Bungeni tarehe 18Julai, 2011, hazikuweza kuthibitika. Kutokana na matokeo haya yauchunguzi wa awali, mimi kama Mamlaka ya Nidhamu ya Katibu Mkuu,Nishati na Madini, Bwana David Kitundu Jairo, sitaweza kuendelea nahatua ya pili ya kumpa taarifa ya tuhuma (notice) na Hati yaMashitaka kwa sababu Bwana David Kitundu Jairo, hajapatikana na kosala kinidhamu (disciplinary offence) kwa mujibu wa Taarifa ya UkaguziMaalum."
Alihitimisha:"Kufuatiamatokeo ya taarifa hii ya awali na kwa mamlaka niliyonayo kwa mujibuwa Sheria Na. 8 ya Utumishi Umma ya Mwaka 2002 na kanuni zake zaMwaka 2003, NINAAMURU BWANA DAVID KITUNDU JAIRO AREJEE KAZINI KUANZIASIKU YA JUMATANO, TAREHE 24 AGOSTI, 2011."
KURUGENZI YAMAWASILIANO YA RAIS, IKULU,inapenda kutoa ufafanuzi kuwa baada ya kupokea taarifa ya uchunguziya CAG na uamuzi wa Katibu Mkuu Kiongozi kuhusu suala hilo asubuhi yatarehe 25 Agosti, 2011, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, Rais waJamhuri ya Muungano wa Tanzania, aliamua kuwa Ndugu Jairo asirudikazini mpaka kwanza yeye Rais atapoamua namna gani ya kurudi kazini,lini na wapi.
Katibu MkuuKiongozi alifikisha uamuzi huo wa Rais kwa Ndugu David Jairo ambayemapema asubuhi ya siku hiyo alikuwa ameripoti kazini. Ndugu Jairoalitii uamuzi huo wa Rais.
Tunapendakusisitiza kuwa Mheshimiwa Rais hawaja kigeugeu kwa sababu alifanyauamuzi mmoja tu baada ya kupokea taarifa kutoka kwa Katibu MkuuKiongozi. Na uamuzi huo aliufanya kabla ya Bunge kulizungumzia sualahilo na hivyo uamuzi huo wa Rais haukutokana na shinikizo la Bunge.Pamoja na kumweleza Katibu Mkuu Kiongozi, Rais pia alimfahamishaWaziri Mkuu kuhusu uamuzi wake huo asubuhi hiyo ya tarehe 25, 2011.
Aidha, tunapendakufafanua zaidi kwamba Katibu Mkuu Kiongozi ametimiza wajibu wakeipasavyo kama Mamlaka ya Nidhamu kwa Katibu Mkuu kwa mujibu waSheria, Kanuni na Taratibu za Utumishi wa Umma. Mheshimiwa Rais, kwaupande wake, ametumia madaraka yake kama Mamlaka ya Ajira ya KatibuMkuu. Hakuna suala la kujichanganya wala ukigeugeu ndani ya Serikalikuhusu suala hili.
Mwisho.
Imetolewana Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu,
Dares Salaam.
26Agosti, 2011
jamani ..WHAT IS THIS ..AIBU GANI HII STATEMENT IMEKOSEWA ...SPELLING MISTAKES ,NO COMMAS,SPACE...misused appostrophes..etc..Hii inaaibisha kabisa weledi[proffessionalism]...yaani inaonekana hata report imetolewa kwa kukurupuka...its seems hii taarifa imetolewa kwa influence tu na sio maandalizi yoyote..as if Kikwete alikuwa amewasimamia kina Primi kwenye PC waitoe taarifa ya kumsafisha huku anagomba kwa ukali ....crap of the year!!!!!
 
quote_icon.png
By Kimbunga
Wakuu kwa mujbu wa taarifa ya hiyo kurugenzi inaonekana ya kwamba Luhanjo alimpuuza rais. Kwa mantiki hiyo naye angeomba tu ama angelazimishwa kupumzika.

Bunge linasema limepuuzwa na waziri mkuu pia kapuuzwa sasa ikulu nayo inaonyesha rais kumbe naye hakupata taarifa kwa wakati kwa hiyo alipuuzwa.
Kikwete ni kigeugeu tu...,chief secretary ndie msaidizi wake mkubwa pale ikulu.....na haiwezekani akafanya lolote bila kumbreaf Rais hata kwa simu ikiwa hayupo[RAIS SI KAMA MIMI NA WEWE NATAKA MUELEWE KUWA RAIS KILA SIKU ALFAJIRI/NA WAKATI WOWOTE AKITAKA HUPEWA TAARIFA YA KILA KINACHOENDELEA NCHINI .....NA KILA ATAKACHOTAKA KUKIJUWA...HE GET EVERYTHING IN HIS FINGERTIPS...HE IS SIMPLY A LIVING "GOD"....hata nyerere amepata kukiri ,kuwa urais una nguvu sana]...Kikwete akubali tu kuwa yeye ni mvivu wa kusoma na anategemea kina Luhanjo wamfanyie kila kitu huku yeye amekaa tu anabeua......kwenye hiii scenerio hii report alipewa briefing na akakubali hatua za kumrudisha zichukuliwe .....alipoona bunge na wananchi wamekuwa wakali ,kama kawaida yake kwa kuwa anapenda kufanya mambo kwa kuangalia watu ....akakimbilia kuisoma report .....na kusitisha kurudishwa kazini kwa Jairo......
Uvivu wa JK kusoma mafaili pale magogoni utaendelea kumcost sana........jiulizeni huo muda wa kusoma nyaraka anautoa wapi..kutwa kucha yupo majiani?

Pia duru za karibu za ikulu zinatonya kuwa zaidi ya shinikizo la bunge..na hata kabla ya kikao cha juzi kuanza bungeni asubuhi......Pinda alimpigia rais simu na akaeleza nia yake ya kujiuzulu nafasi yake ,kutokana na muendelezo wa kukinzana kwa maamuzi kunakompa wakti mgumu bungeni[kumbukeni wabunge wakiwamo wa ccm walivyomzodoa juzi ....wakimdhihaki..baada ya jairo kurudishwa..ikikumbukwa kuwa Pinda kwa hakika kabisa alijuwa Rais alikuwa anaenda kumfukuza kazi Jairo]

Kikwete ni mtu ambaye haaminiki ,na anaweza kufanya lolote ilimradi tu apendwe?!!...na kwa kuwa perfomance yake ya kiuchumi ni mbaya basi atafanya lolote hata kama ni kufanya wengine waumie kisiasa ili tu kuokoa umaaruufu wake ....na kwa kasi hii soon hatakuwa na la kukamata!!!...nashauri ahakikishe serikali inafanya kazi kwa bidiii...hilo tu ndilo litaokoa umaarufu wake kushuka kwa kasi!!...leo hii kila mtu anamsema Kikwete vibaya ..iwe serikalini ,kwenye vyombo vyake,wastaafu..wafanyabiashara ,...hata wananchi wa kawaida..nadhani hili sio siri tena ...kama anawasikiliza watu wake wa USALAMA watakuwa wameishamuambia ..juu ya hisia za makundi yote ya watu dhidi yake ...unless hataki kuwaamini watu wa USALAMA basi aendelee kuviamini vibwengo alivyoviweka kumfanyia kazi badala ya usalama.


 
Wewe ambae si legelege mbona huna hata ujumbe wa nyumba kumi? unanchekesha.

Haya basi mjumbe wa Nape hebu nikumbushe' hivi Pinda alivyokuwa anajibu swali la Mbowe alisema Jairo amesimishwa kupisha uchunguzi wa kamati itakayoundwa na Spika au mimi ndiye nilisikia vibaya?
 
Wewe ambae si legelege mbona huna hata ujumbe wa nyumba kumi? unanchekesha.

Usiwadharau wajumbe wa nyumba kumi; ninakuhakikishia kuwa kuna wajumbe wa nyumba kumi jasiri sana, wanaotoa maamuzi magumu kuliko huyo bwana/ baba wako/ yako unaempigia debe !!
 
Nahisi ban inaninyemelea,twende tu ,hivi ww salva unamawazo jf ni mkutano wa hadhara wa zile products mnazozizalisha kila mwaka la saba na form four za kata???wajinga wasio na uelewa hawawezi kupambanua mambo???unamdanganya nani hapa jf??nenda maelezo ukasemee huo upuuzii wako.raisi wako ni mwoga,mgombanishi,mpenda kupimia upepo unavuma vipi anadhani huo ni ujanja hajui kuwa huo ni unafiki.lini mnaenda honduras na nikaragua????hukumbuki sakata la dowans kulipwa au kutolipwa yeye alisimamia wapi??Werema alisema walipwe,ngereja pia alisema walipwe unataka tuamini kuwa hawakuwa na mawasiliano na rais???wabunge walipochachamaaa akaibuka na kusema hata yeye anaafiki wasilipwe hiyo ni nini???Luhanjo anapompa jairo likizo ya malipo kupisha uchunguzi hakuwa na mawasiliano na rais unataka tuamini hivyo???kwenye kashfa za kila kukicha rais anawekwa mbembeni tena na mtu wake wa karibu kuliko wote tuamini hivyo??Sio kweli ameikimbia aibu ya tume ya bunge kama itakuwa tofauti na ya mkaguzi mkuu.
 
Back
Top Bottom