JohnQcarney
Member
- Jul 10, 2012
- 14
- 3
Ni jambo la uungwana kwa Rais aliyepo madarakani kuhudhuria mazishi ya ya Rais mwenzake ambaye amefariki akiwa madarakani. Aidha, tangu lini tumekuwa na tabia ya kuamua nani akamzike nani? Kwa mujibu wa miongozo ya kidini na kimaadili kuwazika wenzio ni jambo la sudi hivyo Kidiplomasia, kimaadili, kidini Mhe. Rais hajakosea kwenda Ghana.