Ngoromiko
JF-Expert Member
- Sep 15, 2011
- 554
- 175
Ingekuwa JK hajaalikwa kwenye huu mkutano kauli zingekuwa zingine.....kazi yake kukaa jikoni.......hakualikwa manake hana jipya......Rais gani asiyetoka kuongea na wenzake, mbona Kagame na Mu7 wamealikwa....bla bla bla bal.
Akitoka shida, akibaki au kumtuma msaidizi pia shida.
Any way, ndo comments za Great Thinkers wetu ktk JF.
Akitoka shida, akibaki au kumtuma msaidizi pia shida.
Any way, ndo comments za Great Thinkers wetu ktk JF.