Alnadaby
JF-Expert Member
- Sep 28, 2006
- 505
- 41
Katika watu wasiokuwa na akili ya kuishi na kudumu kama mwanasiasa sijaona kama huyu Mwakyembe!
Katika mtazamo wake siku zote alikuwa anakandamiza serikali ya Jk akiwa kama frontliner.Leo kunani hata aseme JK ni kiongozi safi si unafiki tu.
Mimi naamini kuwa Jk ni safi sana...na anajua ku calculate trends za kisiasa zinavyoelekea,na sioni kama ana matatizo kama ya Mkapa.Mwakyembe angefaa kwenda Chadema mapema mno.Kwenye CCM kishaharibu,hata akisema nini!
Katika mtazamo wake siku zote alikuwa anakandamiza serikali ya Jk akiwa kama frontliner.Leo kunani hata aseme JK ni kiongozi safi si unafiki tu.
Mimi naamini kuwa Jk ni safi sana...na anajua ku calculate trends za kisiasa zinavyoelekea,na sioni kama ana matatizo kama ya Mkapa.Mwakyembe angefaa kwenda Chadema mapema mno.Kwenye CCM kishaharibu,hata akisema nini!