Binti Maria
Senior Member
- Jun 26, 2007
- 158
- 33
Mwenzenu naombeni mnisaidie: huyu mwenzetu Lunyungu ana miguu mingapi, maana yeye hupatikana katika matukio yote: Ikitokea Chacha Wangwe yuko Tarime atakwambia nipo Tarime, ikiwa Kikwete yupo Uholanzi anasema yupo huko naye anasubiri kumbana maswali, haya leo ametusalimia akiwa uwanjwa wa ndege wa Eldoret Kenya! Sasa huyu ndugu yuko wapi na ana miguu mingapi au yeye ni popo bawa?