Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upuuzi huu aendelee kuwaambia CCM wenzakeAnampango wa kuzalisha umeme mwingi tuweze kuuza nchi za jiran, ana orodhesha miradi.
Mimi nashangaa anamlalamikia nani hata hivyo ameishazoea kulalamika ndio zake huyu kila saa kulalamika tu.jamani rais anspolalamika eti mboga hatuwezi kuuza maua yametushinda sasa nani ambaye ataongoza hii mipango km yeye analalamika? rais wa ajabu sana huyu kwa nini asiwe na mipango tekelezi sio hii ya porojo tu kwenye majukwaa
Hii mipasho imetuchoshaMiundo mbinu,
Kuendeleza miundo mbinu ili kukuza uchumi na kuendeleza wananchi.
Anadai wanataka kuzalisha umeme wa kutosha ili tuweze kuuza nje km south africa na kenya, anadai malighafi zipo nyingi sana kama upepo wa singida, jua, maji, gas nyingi, bahari na gas nyingi chini ya bahari, anadai Tz itakuwa ni miongoni mwa nchi inayouza gas nyingi dunia.
Kwa hiyo sasa tutaanza kuuza umeme nje.
Najisikia kuchekaMiundo mbinu,
Kuendeleza miundo mbinu ili kukuza uchumi na kuendeleza wananchi.
Anadai wanataka kuzalisha umeme wa kutosha ili tuweze kuuza nje km south africa na kenya, anadai malighafi zipo nyingi sana kama upepo wa singida, jua, maji, gas nyingi, bahari na gas nyingi chini ya bahari, anadai Tz itakuwa ni miongoni mwa nchi inayouza gas nyingi dunia.
Kwa hiyo sasa tutaanza kuuza umeme nje.
SI AWAKAMATE KWANZA WEZI WA EPA,RICHMOND,KAGODA KAMA YUKO SERIOUS waliofilisi taifa letu la TZ, NAONA ANAFAGILIA MAFISADI KWA BURGET ZA KUTUIBIA TUU. HIZI BURGET BILA KUKAMATA WEZI NI NGONJELA TUU!!!!!!!Anaelezea, mpango wa maendeleo wa miaka mitano 2011/20012 - 2015/2016
Anasema,
Bajeti ya serikali kukaribia trilion 14.
Awapiga kijembe CDM, kwa lawama na kuuza sura twenye TV, kulalamikia kila kitu.
Anadai CDM wanafanya maandamano nchi nzima kutukana, hahaha nimeipenda hii,
Hivi anahutubia bunge au ameamua tu kujitokeza kuuza sura kwenye TV? Ningekukuwa naanglia hiyo TV ninge mpiga na jiwe hapohapo kwenye TV!
Yeye anafikiri kila wakati yuko kwenye kampeni kazi kutoa ahadi kila siku tutafanya hiki mara tutafanya kile. crappSioni jipya, ni km zile ahadi za kampeni, anachofanya n kuorodhesha, et maji mijini na vijin wakat ubungo tu hapo issue.