Losambo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 2,612
- 864
Mwita 25 ushauri wako ni mzuri sana na imani yangu CDM ni chama cha watu na si mafisadi na kinawasikiliza wananchi wake ambao ndiyo mtaji wao.Chadema are not safe from ill-will tactics of Magamba to make sure that the political opposition is crippled at all cost. They have successfully managed to silent CUF's activism buy merely engaging them into Zanzibar's government hierarchy and now Chadema seems to descend into the same trap. I advise Magwanda to be exta careful with CCM's double-dealing nature who might take an advantage of this meeting to entice Magwanda into accepting a coalition deal.
Pia nikutoe hofu CDM hawawezi kuanguka katika mtego mwepesi kama huo.