ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,906
- 6,909
hapa hakuna ligi, nani mshindi au nani kaogopeshwa , tunachotaka ni mabadiliko
hata cdm wakilamba soksi na madiliko yakapatikana ni vizuri pia
naona upo kiubishi ubishi na mashindano zaidi
kaivipi kiubishi na mashindano zaidi? Nimeeleza ninachokiona kwa uelewa wangu wa mambo.