Rais Kikwete na mazungumzo na ujumbe wa CHADEMA

Tumashukuru kwa taarifa kutoka ikulu, japo, kwa maoni yangu haina jipya sana. Tunachosubiri ni kusikia kuhusu hoja dhidi ya mswada zilizotolewa baadhi ya vyama vya siasa, CDM, NCCR, wanaharakati, wataaluma na makundi mengine.
 
Mmmh, aka ka taarifa kana harufu ya UCHAKACHUAJI... Wangefaya LIVE ingependeza hiyoooo.. thijui wamemkabidhi ya kiingeleja, or sory kidhungu?..teh,teh,teh,teh,, CDM WATATA, Aaah Baba RIDH 1 Weeee.. Pole..
 
Kesho uenda taarifa njema ikatoka kuwa ANASITISHA KUSAINI MUSWADA WA KATIBA MPYA.Hakika kitakuwa ni kilio kwa baadhi ya wanaccm hasa MAFISADI.
 
Hii Press release imejaa propaganda:

Lakini pande hizo mbili zimekubaliana kuwa Katiba ya sasa ni Katiba nzuri iliyolilea Taifa kwa miaka 50 iliyopita kwa sababu ni Katiba ya sasa iliyoliwezesha Taifa la Tanzania kuwa na amani, utulivu na kupata maendeleo makubwa ambayo nchi yetu imepata mpaka sasa.
Kwenye blue: Ni maneno ya pande zote mbili au kuna mtu amelazimisha?

Pia pande zote mbili zimekubaliana kuhusu umuhimu wa kutunga Katiba Mpya kama Mheshimiwa Rais Kikwete alivyoliahidi taifa wakati wa salamu zake za mwaka mpya Desemba 31, mwaka jana, 2010, Katiba ambayo italiongoza Taifa la Tanzania kwa miaka mingine 50 ijayo
Nahisi kama Rais au timu yake bado wanataka umma uamini kuwa wao (rais na ccm yake) ndio walitaka katiba mpya na sio 'shinikizo' toka upinzani
 
Nimefurahi sana kuona hii movement.CCM na CDM vinaunganika pamoja kuitengeneza tanzania tuitakayo.
Mwanzoni hili waliliweza CUF na sasa naona CDM wameingia. Kwa mantiki hii upinzani Tanzania sasa basi.

Kati ya wapuuzi humu JF u'r among them,kwa nin usipigwe ban milele?mtu kama wewe ni kupgwa risasi tu
 
Hii ni muhimu sana, anatafakari walichopendekeza ili naye ashauriane na timu yake, kesho asubuhi awape Chadema maamuzi yake!.
Pasco unajua haya ni mazungumzo, CHADEMA hawajapeleka mapendekezo ili JK aamue, wamepeleka mapendekezo ili wajadiliane kupata muafaka.
 
Wameanza kutunga makubaliano sioni mbele kuna nini. si amini Ujumbe wa CDM unaweza kukubali uzuri wa katiba hii ya mkoloni.
Mkuu kweli umesoma hii taarifa between lines. CDM wamekubali (kwa mujibu wa taarifa) kuwa atiba hii ya sasa imeleta maendeleo makubwa kwa nchi yetu pia kwamba ni nzuri. Halafu wanakubali kuwa katiba itakayotungwa itaiongoza Tanzania kwa miaka 50 ijayo; ikitokea watanzania wanataka kuibadili baada ya miaka kumi? Si vyema kusema kuwa katiba itaiongoza Tanzania kwa miaka 50 ijayo kwani huenda wengine wkaiona haifai baada ya miaka kumi! Tusubiri tuone.

Kwa hiyo wakikubaliana watakayokubaliana itabidi yapelekwe Bungeni kupata baraka? Kwa hiyo serikali itakubali matakwa ya CHADEMA na kuacha nje matakwa ya vyama vingine vya siasa pamoja na vyama vya kiraia?
 
My summary "posa tumeipokea, tutawajibu kesho".

Hongera Kikwete, hongera Mbowe, ni wakati muafaka mfunguwe ukurasa mpya wa siasa, hii ndio siasa. Siasa si mitaani na maandamano. Siasa ni kuyaongea matatizo yenu kisiasa. Nna uhakika magwanda kesho wataondoka wanachekelea si ulimuona Mbowe alivyokuwa anamchekea Rais. Mtakomaa kama walivyokomaa CUF. Kikwete hakisii.
 
I had no hope for positive outcome apart from ccm shenanigans. After first round of talks, and basing on Ikulu press release, I feel more worse.
 
Mbona leo hawajamwita Dakta Kikwete??
Anyway, lets hope for the best, God Bless Tanzania..
 
Wajameni, isijekuwa ni mpango wa kuhakikisha tu Dr. Slaa nae anakwenda Ikulu kumuona Rais.
 
Inavyoelekea kuna wana CCM wengi ambao hawakupenda CDM walivyoenda ikulu, ndio maana wanajaribu kuifananisha na CUF ili CDM ikate tamaa. Kwenda ikulu si kujiunga na CCM, basi mabalozi wote wa nchi za nje wanaoenda ikulu wanaenda kujiunga na CCM ! CUF case yaoni tofauti na CDM, wao CUF wana Makamu wa Rais na mawaziri katika serikali ya CCM, sio simply kwenda ikulu!
 
Hawa viongozi wa CHADEMA wamenihuzunisha sana leo. Yaani wanapiga picha na Rais wasiyemtambua huku wanacheeeeeeka meno yote 32 nje. Hapo unategemea nini zaidi ya kushuhudia ndoa nyingine ya mke wa pili wa CCM mwaka 2015. Kweli siasa za Tz ni vichekesho tupu.

Usiwaamini watu wanaojiita wana siha hasa, siha (nyuso) huwa na pande mbili yaani sio nyuso hasa ni watu wanaopenda ulwa na maslahi na ndio maana utona ccm wanataka kulichikulia swala la katiba kama lao peke yao huku wa cdm na wao wakitaka kuliteka kwa maslahi yao. Mwisho wa siku wanasiasa sio malaika hawana dhamira njema mioyoni mwao dhamira zao ni kujinufaisha wao na familia zao, ndo maana utaona vyama vimekuwa vya kiukoo kidugu na mengi mengineyo. Mie siasa kwangu ni kitu cha mwosho katika schedule yangu ya opportunity cost.
 
for security purposes, the directorate of presidential communications must be careful with the current system of issuing press releases in non encrypted electronic format.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Inavyoelekea kuna wana CCM wengi ambao hawakupenda CDM walivyoenda ikulu, ndio maana wanajaribu kuifananisha na CUF ili CDM ikate tamaa. Kwenda ikulu si kujiunga na CCM, basi mabalozi wote wa nchi za nje wanaoenda ikulu wanaenda kujiunga na CCM ! CUF case yaoni tofauti na CDM, wao CUF wana Makamu wa Rais na mawaziri katika serikali ya CCM, sio simply kwenda ikulu!

Hata cuf ealianza kufunguliwa milango ya ikulu mwisho ndio tunaoushudia sasa. Ila usidanganyike watu wapo kazini kimaslahi zaidi
 
chadema wamefurahi sana kupiga picha na Rais yaani baada ya kupiga picha meno 32 ya mbowe na safari, baregu mnyika yameonekana, kweli wapinzani wetu ni vichekesho.
 
Aidha, pande zote mbili zimekubaliana kuwa mchakato huo uendeshwe kwa kuzingatia misingi ya mambo mengine muhimu kwa taifa la Tanzania kama vile kujiepusha na vitendo vya uvunjifu wa amani, kuligawa Taifa kwa misingi ya udini na ukabila ama kutugawa kwa misingi ya maeneo.
Hii pia imenishangaza miye!

Sasa kama watakubalina,yanini kuvunjika kwa amani?

Ama kwanini unadhani amani itavunjika kama mtakubaliana?

Naona hao CDM wanahitaji kuwa makini sana na si kwenda kupiga tu picha na rais na kusema tulijaribu,JK naona yeye bado yuko kimkakati,na kwa jinsi jamaa alivyo actor,msishangae akawageuka huyu mtu,historia yake mhn mhn!!


Hadi usawa huu kwa taarifa hizi zinavyoenelea kupikwa na inavyoonekana kwa kutumia propaganda machine ya JK...

Kama ni mechi hii CDM wamekoswa koswa bao la wazi kabisa,maybe ni mchezaji wao Slaa atakuwa ameokoa hilo goli hadi sasa,usiniulize ni kivipi mchezaji ambaye hakuwa uwanjani ameokoa vipi goli...

Ni hatari kweli kweli!

BTW hayo kwenye red si ndiyo JK alikuwa akiwalaumu nayo CDM? Ina maana wanataka kuwapa wananchi picha kwamba katiba itakayosimamiwa na CDM ina mielekeo hiyo?

Subliminal message?

Ngoja niedelee kusubiri...
 
Back
Top Bottom