engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Rais Mstaafu Benjamin William Mkapa na mkewe, na Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa nyakati tofauti wametua jana katika uwanja wa ndege wa Ruhuwiko Songea kwa ajili ya kuhudhuria shughuli za Jubilee ya Askofu mkuu wa Jimbo kuu la Songea Mhashamu Norbert Mtenga.