Anamiliki jengo la ghorofa 4 hapa ni jipya linaelekea ukingoni kumalizika alikuja kulikagua na pia ana bi mdogo,lakini kulikuwa kuna idadi ndogo sana ya wananchi tulioenda kushuhudia maadhimisho hayo
Haya ni majungu mwanzo mwisho kwa lugha ya mtaani ni kupakana matope. Wandugu tusiseme mambo kwa reference za vijiweni. Wasimuliaji wa vijiweni wanakua wamepata jani hivyo wanaelezea ndoto zao.chukua taadhari.
siku hizi humu JF, watu wanasema tu, zamani tungeona hata hizo picha basi, wengine hata Iringa hatuijui
siasa za kwenye mitaro ya kupitisha maji taka zina wenyewe ukichimba zaidi utatukanwa matusi ya nguoni. Kama huyo mama sio mke wa mtu haina shida mbona Dk. Slaa ana hawala ambaye bado ni mke wa mtu ambaye ndoa yake haijavunjwa lakini anavinjari na kamanda Slaa.
Tuwaache wazee wetu kama wamepata vipumzikio baada ya kazi ngumu za kujenga taifa ili mradi hawavunji sheria na katiba
watanzania wambumbavu sana raisi akienda nje ya nchi mnalalamika akija kuwatembelea mikoani mnalalamika akikaa ikulu tu bila kutembea mnalalamika
Mkuu umesahau akimaliza matembezi anaenda ruaha mbugani kujipumzisha na Bi Mdogo.!
Haya ni majungu mwanzo mwisho kwa lugha ya mtaani ni kupakana matope. Wandugu tusiseme mambo kwa reference za vijiweni. Wasimuliaji wa vijiweni wanakua wamepata jani hivyo wanaelezea ndoto zao.chukua taadhari.
siku ya maji kitaifa ni iringa ndio maana amekuja iringa
pia si mlisema mbeya nchi na rais sugu sasa aje uko wakati hamja mpa viza
na wewe umejuaje kama haukuwa nao huko kwenye jani?think twice bro!!umejuaje?