Rais Kikwete kuzungumza na Wazee wa Dar jioni ya leo (Nov 18, 2011)

Status
Not open for further replies.
Wazee wa CCM na sio wazee wa Dar es salaam, hawa ni maarufu kwa kuombaomba kwenye maduka ya wahindi kila ijumaa ndio maana JK lazima awaandalie posho zao za 5000 kwa sababu leo atawakosesha dili lao la kuombaomba madukani kwa wadosi.
Asilimia kubwa ya watz ni CCM...kwahiyo kwenye hadhara yoyote lazima kijani itawale!!!
Wazee wote CCM, Vijana wote CCM..., mimi na wewe CCM...viva CCM..live long!
 
Mimi nitakaa na counter yangu kwenye luninga ku-count TUNDU LISSU na CHADEMA itatajwa mara ngapi?

Hii inakumbusha wakati ule wa kusudio la mgomo wa wafanyakazi, hotuba yake iliishia kum-attck personally Mgaya wa TUCTA. Simple minds discuss people. Kama angekuwa greater minds basi ajibu hoja za CDM hoja bin hoja.

Sitarajii jipya, mark my words, utakuwa upotoshwaji tu, na upotoshwaji wa kwanza ambao tunategemea kuuona au kuusikia ni Kwamba CDM iliahidi katiba mpya ndani ya siku 100, huku ukweli ni kwamba CDM iliahidi kuanza mchakato wa katiba mpya ndani ya siku 100.
 
Silent listeners.......no questions asked just clappings and ululations......what a pity for the aged!!!!!!

3.jpg
 
Lakini ujumbe unatufikia wote..atakayoongea hawalengi tu wazee..bali taifa kwa ujumla. Wazee wantumika tu kama sample ya hadhira

Kwasabu anajua vijana na wasomi wenye miakili akiwaita, watakaokuja hawafiki hata 50. Watu wako busy wakae wasikilize hotuba za mbayuwayu za nini?
 
Mheshimiwa Rais Dr Jakaya Mrisho Kikwete leo ataongea na wazee wa Dar-es-salaam kuanzia saa kumi jioni. Itarushwa live na vituo vya TV kama TBC.

USIKOSEEEEEEEEEEEEEEEEE.

hakuna kitu kinachoitwa wazee wa dar es salaam labda useme wazee wa ccm
 
Kwasabu anajua vijana na wasomi wenye miakili akiwaita, watakaokuja hawafiki hata 50. Watu wako busy wakae wasikilize hotuba za mbayuwayu za nini?
Una uhakika??? uliona miaka ya 50 ya UDSM hao unaowaita wasomi walivyokuwa wanajikomba???
 
Ni wasaa muafaka kwake kuzungumza nasi, anapaswa kutuambia, kutuelekeza na kushauri juu ya katiba, muelekeo wa ccm sasa mpaka nec ijayo.....
 
Hawa Wazee wa DSM hata Rais akisema kuwa ameagiza jeshi liende likabomoe mji wa Arusha, watapiga makofi, vigelegele, vifijo na nderemo. Na watatoa tamko kuwa walikuwa wanashangaa uvumilivu wake uliopitiliza mapaka akachelewa kuchukua hatua hiyo murua!
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Nakweli walijikomba maana kujikomba si kuzomea?? pua lile..mpssxxyy
Waliozomea ni watoto wa form six naweza waita! ndio kwaanza wanaitafuta degree ya kwanza! Wenye digree zao hawawezi kufanya huo upuuzi!
 
ushawishi wa kikwete kwa jamii ya kitanzania haupo tena...sasa hivi analazimisha kushawishi ili walau watu wamuone kuwa bado yupo ....sasa anatumia hao wazee ili kujilinda ....sana sana leo atarudia tena kauli zake za kusema kunawatu wanataka kumpindua
 
Tangu lini Kikwete akaheshimu wazee? Mara ngapi amekuwa anawakashifu Dr Salim Ahmed Salim, Joseph Butiku, Warioba n.k? Na kwa mazingira ya sasa wazee hawana nafasi wala uwezo wa kubadilisha mawazo ya vijana, hasa wazee wa Dar es Salaam ambao hawana historia nzuri kwa siku za hivi karibuni. Si ndio hawa hawa walikaa kitako wakimpigia makofi wakati anaita wafanyakazi mbayuwayu?

Kikwete na wenzake wanatakiwa watambue kuwa zaidi ya 70% ya watanzania wote ni vijana, na ndio wanataka kuandika katiba mpya inayoendana na maisha ya sasa. Hawa wazee walikuwa na yao 1961 na 1977, sasa hivi ni katiba ya wote na sio wazee uchwara. Kama ni wazee wa maana kwa nini wamekaa kimya wakati wastaafu wenzio wa iliyokuwa Jumuiya ya Afrika Mashariki wakitafuta haki yao?

Kwa maoni yangu ni afadhali rais angeongea na wananchi wote kwa mtindo wa hotuba za kila mwezi kuliko hawa wazee? Watu wenyewe wamekaa kimya wakati nchi inauzwa. Hovyo kabisa wazee wa Dar es Saalam. Hovyo!
 
Ungependa aongelee nini? Dowans, Maandamano, Katiba???

anataka sympath ya wazee kama wakati ule.agenda zitakuwa tundu lissu,cdm,jukwaa la katiba aob mchakato wa katiba.
Mytake.wasiwasi wangu ni vigezo vinavyotumika kuchagua hao wazee.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom