Kiby
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 6,899
- 4,623
Hivi kwa mujibu wa katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania wazee wa Dar ni kamati ipi?
Unajua mimi mwenyewe najifahamu nikikutana na mtu ambae najua kwamba kiingereza kwake hakipandi, naongea kwa comfo na kuchepea kote siwezi kukuona. Lakina akiwa ni mtu ambae nafahamu kinapanda hata kile changu cha kuchapia kinapotea. Hii haina tofauti na Jk. Ana kawaida ya kuwakimbia kwa kuyakwepa makundi ya wenye akili na kutafuta makundi ambayo hata kutofautisha mkono wao wa kushoto kutoka kwa wa kulia hawajui. Anatamani na kufurahia kushangiliwa na washabik,. hataki ku-crack na kuyajadili masuala magumu katika uhalisia wake.
Dawa ya maleria ni kunywa dozi yake yote japo ni chungu na sii kurahisisha kwa kukata kichwa cha mgonjwa. Hope thati raisi kesho ataongea kama rais wa nchi na sii kama mshabiki wa chama chake kwa ushabiki atakaoshabikiwa na makada. MUNGU IBARIKI TANZANIA!!
.
Unajua mimi mwenyewe najifahamu nikikutana na mtu ambae najua kwamba kiingereza kwake hakipandi, naongea kwa comfo na kuchepea kote siwezi kukuona. Lakina akiwa ni mtu ambae nafahamu kinapanda hata kile changu cha kuchapia kinapotea. Hii haina tofauti na Jk. Ana kawaida ya kuwakimbia kwa kuyakwepa makundi ya wenye akili na kutafuta makundi ambayo hata kutofautisha mkono wao wa kushoto kutoka kwa wa kulia hawajui. Anatamani na kufurahia kushangiliwa na washabik,. hataki ku-crack na kuyajadili masuala magumu katika uhalisia wake.
Dawa ya maleria ni kunywa dozi yake yote japo ni chungu na sii kurahisisha kwa kukata kichwa cha mgonjwa. Hope thati raisi kesho ataongea kama rais wa nchi na sii kama mshabiki wa chama chake kwa ushabiki atakaoshabikiwa na makada. MUNGU IBARIKI TANZANIA!!
.