Kesho ni siku ya hotuba kama ile ya mbayuwayu!. Madokta ambao hawatarejea kazini baada ya hotuba ya kesho, chamoto watakiona!. Yaani watakiona kisa cha mtema kuni, kilichomnyoa kanga manyoya!.
Naisubiri kesho kwa hamu kumsikiliza rais wetu JK ambae ili nijue nitaongeza post kwenye thread ya mazuri yake au mabaya yake!.
Hivi hao wazee ndo wanaongoza nchi? Mana kila kitu kikimuwia vigumu anakimbilia kwa hao wazee.
Jamani viongozi wetu waache kufanya vitu kwa mazoea.kesho saa ngapi?
Kesho JK, atakapokuwa akishangiliwa na watu ambao siyo lazima wawe Wazee, wakiwa wamevalia mashati na fulana za rangi ya kijani na njano.mbayuwayu speech.........kesho analitibua
Another choice of wrong audience.Sasa wazee watamsaidia ushauri gani kuhusu mgomo wa madaktari? Kweli Jk ameishiwa uwezo wa kufikiri
ah wapi...wale ni wazee wa gerezani/gogovivu...!Sio wazee wa dar. Ni magamba makongwe
Mkuu Companero, kwani mimi Salva mpaka nijue?. Au na wewe unadhania na mimi ni mtu wa sehemu?. Mimi ni mwananchi tuu kama wewe, naisubiri hotuba hiyo ili niongeze katika mazuri ya JK au mabaya!.Si tayari unajua kha!
magwanda wanapokuwa hawajui nini kinaendelea wana haha!
Kesho ni siku ya hotuba kama ile ya mbayuwayu!. Madokta ambao hawatarejea kazini baada ya hotuba ya kesho, chamoto watakiona!. Yaani watakiona kisa cha mtema kuni, kilichomnyoa kanga manyoya!.
Naisubiri kesho kwa hamu kumsikiliza rais wetu JK ambae ili nijue nitaongeza post kwenye thread ya mazuri yake au mabaya yake!.
Kesho ni siku ya hotuba kama ile ya mbayuwayu!. Madokta ambao hawatarejea kazini baada ya hotuba ya kesho, chamoto watakiona!. Yaani watakiona kisa cha mtema kuni, kilichomnyoa kanga manyoya!.
Naisubiri kesho kwa hamu kumsikiliza rais wetu JK ambae ili nijue nitaongeza post kwenye thread ya mazuri yake au mabaya yake!.