Rais Kikwete kuvunja Baraza la Mawaziri baada ya kugundua AMEISIGINA katiba ya nchi...?

Rais hata kama hajui katiba...ana advisers zake wengi tu...kuna maamuzi mengine kabla hajayatoa anawasiliana na AG ili kumpa ushauri wa kisheria..so hizi decisions zote hapa hajatoa yeye mwenyewe..kuna jopo la watu limekaa nae likamshauri kwa kila kona.... so kama maamuzi aliyofanya si sahihi maana yake sio tu yeye ni mzembe bali advisers wake wote ni mbumbumbu....
yeye ana uzoefu wa muda mrefu sana serikalini maana tangia alivyomaliza shule hajawahi kufanya kazi nje ya chama na serikali.

Kwa maana hiyo mara zote ameshuhudia watu wakiapa lakini matendo ya zaidi 98% ya waliokula viapo kulinda katiba either hawajawahi kuitekeleza au wamevunja kwa makusudi na hakuna kilichowatokea. Hivyo kwake inaweza kuwa ni formalities tu na upotezaji wa muda.

 
Na hili la mwinyi inabidi ss watanganyika tulishikie bango, manaake wazenji wasingekubali mbona huku tuko kimya?
 
Mwinyi anabana nafasi ya ajira ya mtanganyika, they dont deserve this! Wazenj wanaweza kumaccomodate mtanganyika?
 
Mawaziri waliochaguliwa na Rais Kikwete leo saa 4 wanaapishwa rasmi Ikulu ya Dar es Salaam.
 
Huyo ag he attended the law classes and he got educated! He is never a learned person, hajui sheria wala katiba!
 
Rais hata kama hajui katiba...ana advisers zake wengi tu...kuna maamuzi mengine kabla hajayatoa anawasiliana na AG ili kumpa ushauri wa kisheria..so hizi decisions zote hapa hajatoa yeye mwenyewe..kuna jopo la watu limekaa nae likamshauri kwa kila kona.... so kama maamuzi aliyofanya si sahihi maana yake sio tu yeye ni mzembe bali advisers wake wote ni mbumbumbu....

Hili kwa JK haipo.

Warema hawezi ita beleshi beleshi bali kijiko kikubwa. Angalia ushauri wote wa Warema utaona aibu kama kweli nafasi hiyo anastahili. Mfano katiba mpya, hivyo hii nayo ni hivyohivyo.

Mwakyembe "Watanzania si mabwege tena" tusubiri tuone
 
AG Huwa contribution zake zina utata bungeni, mi naona hawa ndio baadhi ya wakaliliji darasani, haelewi sheria hata!
 
Nikweli kavunja katiba, ibara ya 56 inasema waziri ataanza kutekeleza majukumu yake baada kula kiapo mbele ya raisi na viapo vingine kwa mujibu wa sheria iliyotungwa na bunge! Hii maana yake nini?

Kwenye RED: Viapo vingine vp hivyo jamani tuwekene wazi humu tupate kuelewa.
 
Back
Top Bottom