EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka udongo kawenye kaburi la aliyekuwa Waziri mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Marehemu Salum Juma Othman wakati wa mazishi yake yaliyofanyika huko Unguja jana mchana. Je, atashiriki kwenye mazishi ya hao waliouawa Arusha?
View attachment 19745
View attachment 19745