zimmerman
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 1,628
- 3,155
Hivi kwa nini msiba wa familia ya Mzee Mtema lakini air time, credit mnampa Jk eti mara kahudhuria maombolezo, mara Jk ataongoza mazishi, yaani msiba wa familia wanasiasa wana run the show? Halafu watu mnampa pongezi rais kwa vitu vidogo kabisa kama kuhudhuria misiba? Kuhudhuria msiba ni kitu rahisi sana, na kwa majukukumu ya rais asipohudhuria wala hatutaanza kumhukumu hapa kama antisocial au vinginevyo. Tulishawahi kuwa na marais huko nyuma, lakini mi nashangaa rais wa mara hii pongezi zake ni kwenye kuhudhuria misiba..
Na kuna mwingine anasema damned if you do and damned if you don't. Hujaelewa bado. Ni kwamba anadamniwa kwa yale yaliyompeleka Ikulu. Si kwa kutohudhuria misiba. Ina maana rais atahudhuria misiba mingapi na kila siku watu wanakufa? Ni kweli huu ni msiba mzito wa kitaifa na Jk atafanya vizuri kuhudhuria, lakini si jambo la kipekee kuhudhuria kwake pale.
Na kuna mwingine anasema damned if you do and damned if you don't. Hujaelewa bado. Ni kwamba anadamniwa kwa yale yaliyompeleka Ikulu. Si kwa kutohudhuria misiba. Ina maana rais atahudhuria misiba mingapi na kila siku watu wanakufa? Ni kweli huu ni msiba mzito wa kitaifa na Jk atafanya vizuri kuhudhuria, lakini si jambo la kipekee kuhudhuria kwake pale.