JK baada ya kuzunguka kwa helikopta kuona mafuriko yaliyowakumba wakazi wa Dar atahutubia wakazi wa jiji hili katika uwanja wa shule ya Mchikichini, Ilala mchana huu.
Hotuba za nini saa hizi...atoe misaada inatosha...
hana jipya zaidi ya pole kwa wafiwa
Anna Tibaijuka alipotaka kuwaondoa watu wa mabondeni Zungu yule bunge wa Ilala alipiga kelele hadi bungeni na kumtishia mama kwamba atapambana naye hadi mwisho lakini hatumsikii akisema haya maafa.
Ni Rais asiyekuwa makini.
Kumbuka kulitokea wafanyakazi wa mgodi kuangukiwa na kifusi nchi Mexico,Rais wa nchi hile alijumuika na waokoaji muda wote pale kwenye mgodi.
Lakini Rais wetu hupo Ikulu nakunywa kahawa ,kasubi maji yamepungua heti anazunguka na helikopta.Katoa msaada gani kwa wananchi wake?
Jana alikuwa wapi?
Rais wetu apendi kupata shida wala karaha na watu wake ,Ongera Rais kwa hilo we kaa Ikulu
kwanini asiutubie Jangwani ?
Ile mindege ya siku ya maadhimisho 50 iko wapi kusaidiaaa???
Waliyo adhilika wapo mchikichiniKwa jinsi inavyoonesha hata jangwani kwnye hupajui ww!!!
Kwanini iwe wrong move? Unaelewa maana ya kufarijiwa? Imagine ni wewe umepata tatizo...halfu RAIS wa nchi anakuja kukupa pole..utajisikiaje? Kuna faraja unayoweza kupata zaidi ya hiyo?
Hivi wale wazamiaji toka South Africa hawajaitwa kutoa msaada wa kuokoa safari hii?