Mamzalendo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 1,670
- 558
seriously where is this man?usalama wa taifa rais mzima?vyovyote alivyo bado ni rais wa Tanzania.
Mkuu wa nchi kuhutubia taifa ucku, kaa tayari kusikia atakachosema mkuu kwa maendeleo ya nchi.
Toa maoni na mapendekezo yako ya kitu ambacho mkuu wako wa nchi anatakiwa kukiongelea leo kwa manufaa ya kizazi cha leo na kesho. Aidha hotuba hiyo itarushwa live na vituo mbalimbali vya TV na radio, muda c mrefu tutaenda hewani wakuu msihofu
kalale kaka, we hujajua tu kufika 2015 salama ni kudra za mwenyezi? kama hujui tupo ndani ya islanders!!! tafuta boya ndugu yangu fasta otherwise wafwaaa...Hii Hotuba mbana tumeingizwa mkenge jamani .Tumemsubiri Rais hajatokeza ngoja nikajilalie zangu mimi.
Mkuu wa nchi kuhutubia taifa ucku, kaa tayari kusikia atakachosema mkuu kwa maendeleo ya nchi.
Toa maoni na mapendekezo yako ya kitu ambacho mkuu wako wa nchi anatakiwa kukiongelea leo kwa manufaa ya kizazi cha leo na kesho. Aidha hotuba hiyo itarushwa live na vituo mbalimbali vya TV na radio, muda c mrefu tutaenda hewani wakuu msihofu
Wastage of time and resources!!!
Rais wetu mpendwa atahutubia kuanzia saa ngapi? Au keshapiga mwereka?
Tatizo ni kwamba tumeshamzoea. Hana la maana katika hotuba zake. Sasa kwanini nisikilize mambo ambayo hayana maana? Akihutubia na asipohutubia naona ni sawa tu.watu wanafiki kama wewe ni hatari kwa taifa ni unafiki tu unawasumbua asipo hutubia mnaponda, akihutubia mnakosoa
Mkuu wa nchi kuhutubia taifa ucku, kaa tayari kusikia atakachosema mkuu kwa maendeleo ya nchi.
Toa maoni na mapendekezo yako ya kitu ambacho mkuu wako wa nchi anatakiwa kukiongelea leo kwa manufaa ya kizazi cha leo na kesho. Aidha hotuba hiyo itarushwa live na vituo mbalimbali vya TV na radio, muda c mrefu tutaenda hewani wakuu msihofu