Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu nimeshindwa kufahamu kwanini Mpendwa wangu Rais hakuhutubia Taifa siku ya Jana tarehe 30/6/2012 kama ilivyokuwa imetangazwa na vyombo mbalimbali vya habari.
Kutokana na usumbufu wote uliojitokeza kwa niaba yangu mwenyewe na chama changu CCM naomba kuwataka radhi wananchi wote mliokesha kusubiri hotoba ya Rais bila mafanikio; natumaini Mungu atawatangulia.
Je Rais atahutubia siku ya Leo? ......................................... Jibu tutawapatia baadaeeeeee
Mungu Ibariki Tanzania; Mungu Mbariki Rais wetu umuongoze katika kufanya maamuzi sahihi ktk kipindi hiki kigimu Ameennn
Kutokana na usumbufu wote uliojitokeza kwa niaba yangu mwenyewe na chama changu CCM naomba kuwataka radhi wananchi wote mliokesha kusubiri hotoba ya Rais bila mafanikio; natumaini Mungu atawatangulia.
Je Rais atahutubia siku ya Leo? ......................................... Jibu tutawapatia baadaeeeeee
Mungu Ibariki Tanzania; Mungu Mbariki Rais wetu umuongoze katika kufanya maamuzi sahihi ktk kipindi hiki kigimu Ameennn