afadhali ukaliwe kuliko kukanyagwa mkuu loh
nadhani huyu jamaa ni katika watanzania wachache wenye akili waliogundua akili za huyu rais zimefanana na nini??
hope anastahili kufanan na zulia la kukanyagia chini nadhan akiliona atashtuka hadi niliowapa uraia wamenishtukia ajirekebishe
may be
Hilo hata ukutani linakaa...
Kwa hio Mkulu ametundikwa halafu kuna baaadhi ya waliomtundika ndio wanaoongoza nchi kwa niaba yake......huoni bado ni utata??? hata kuchorwa kwenye leso sio sahihi hata kidogo unless kuna message you wish to convey....naomba tulaani kitendo hicho maaana huyu anawakilsiha Wabongo wote, so hata kama tungechorwa kwene zile za kuzuia naniniihiii tungefurahi? sikubali huku nikudhalilishana banaHilo ni la kutundika unanini wewe.
Mtakufa navyo vijiba vya roho!