nashukuru mola kunishusha kwenye nchi hii TANZANIA naipenda nchi yangu , TANZANIA ni nchi ambayo haina utawala wa sheria SHERIA HAIFUATI MKONDO WAKE , hawa wananchi wanaoishi mabondeni sielewi kwanini wanadai fidia hawana haki wanajuwa na waliambiwa kwamba wasiiishi huko mabondeni tangu miaka 70 na kila masika yanawakuta , unakwenda kualazimisha kujenga sehemu isiyiruhusiwa kwa vile huheshimu utawala na mtawala akija unanmhonga uendele kukaa !!!! mvua ilipokuja hujaweza kuizuwia ,MIMI SIO KAMA SINA HISIA KWA WATHIRIKA BALI HAYA MAJANGA YA KUJITAKIA MAPAKA LINI ??? tutazungumza mjadala mrefu kwani umasikini , umechangia !!! nani kasema ukiwa maskini uvunjesheria tuwe watu wenye kubuni na kuchaguwa maisha bora na ya uhakika na tusiwe kila siku kuitupia lawama serikali ,jiulize wewe kama mtazania umefanya nini kwa TAIFA lako badala kungoja TAIFA kukupa , MABONDENI MAJI YATAKAUKA NA WATU WATARUDI MABONDENI NA SERIKALI ITAFUMBA MACHO YAO KWA KUWACHA BENDERA ZA CHAMA ZA SIASA KUPEPEA