Time Bandit
JF-Expert Member
- May 22, 2013
- 615
- 321
Amwite Kagame Dar anywe chai na mvinyo kwa lipi?Ninyi kwa misaada yoote tuliyowapa(kuwasomesha na kuwapa hifadhi) mmetushukuru lini?Huyo Museven amabaye ana mpa kichwa Kagame nae si "mtoto" wetu?Kasoma hapa,kakulia hapa bado tukamuweka madarakani leo yy na jamaa yake Kagame wanajaribu kuitenga TZ....Ninyi Wanyarwanda na watu wenye asili ya kwenu kama Museveni hamna shukrani hata kidogo na ni wabinafsi wakubwa!