Rais Kikwete ateua wakuu wapya wa mikoa

unashangaa ajira?
shangaa na hili.
sita ni mstaafu serikali
mstaafu kituo cha uwekezaji.
mstaafu mbunge awamu zilizopita.
mstaafu spika.
sasa anasubiri kustaafu uwaziri.
na bado yupo hai huko mbele hatujui atakuwa nani,na zingatia baadhi ya vyeo unapewa nyumba,gari na ulinzi mapaka anaingia kaburini.
huyo ni mmoja tu kati ya viongozi kibao wa ccm,na katika dunia ipo tanzania peke yake.

Nimekubali ndugu yangu , hao akina Luhanjo tunazaliwa mpka tunakuwa watu wazima bado tu hawajafikisha umri wa kustaafu, na wengine wengi, sijui wao umri wa wao kustafu ni miaka mia 100?
 
<br />
<br />
kuna waislamu 9,sasa fanya ratio ya dini nyingine moja moja. Hivi unataka kutuambia mko wengi kias hiki nchi hii? Mbona unaweka vtu vinavyoamsha hasira zetu kwa udini mlionao? Kuna wanawake 6,angalia wakristo wangapi na waislamu wangapi?

Naona huna hata clue ya hoja unayotaka kuijenga hapo...
 
Kwa mikoa ya mwanza na arusha amekosea kuikabidhi kwa waliokuwa wakuu wa wilaya ni mikoa inayohitaji wazoefu sio makada, pia kwa mkoa wa mororgoro kakosea sana kumpeleka joel bendera hana uwezo kiivyoo, na kwa mkoa wa rukwa si sahihi kumuweka mbunge awe mkuu wa mkoa hata mmoja awape ajira wengine ili kupunguza un-employment ambayo ni big silent janga la kitaifa
 
KWA MIKOA YA <strong>MWANZA NA ARUSHA </strong>AMEKOSEA KUIKABIDHI KWA WALIOKUWA WAKUU WA WILAYA NI MIKOA INAYOHITAJI WAZOEFU SIO MAKADA, PIA KWA MKOA WA <strong>MORORGORO </strong>KAKOSEA SANA KUMPELEKA JOEL BENDERA HANA UWEZO KIIVYOO, NA KWA MKOA WA <strong>RUKWA</strong> SI SAHIHI KUMUWEKA MBUNGE AWE MKUU WA MKOA HATA MMOJA AWAPE AJIRA WENGINE ILI KUPUNGUZA UN-EMPLOYMENT AMBAYO NI BIG SILENT JANGA LA KITAIFA
 
sio wkt mwingine, siku zote na mara zote kinakiukwa. sisi tuna kivuli cha democrasia tu.

bad enough, kuna wengine walitupiliwa mbali na wananchi wao kwenye uchaguzi mkuu mfano ni Joel Bendera. ya nini kumpa madaraka mengine achilia mbali matumizi mabaya ya pesa. wananchi wamemkataa na kumwona hafai kuwa kiongozi, kwa nini tena apewe kuongoza watu hao? si kulazimisha watu kutawaliwa wkt wao hawataki?

si ajabu na Masha naye akatangazwa kwenye mkoa wa madini(GEITA) mwakani ili waibe vizuri.

Usimsahau Mwantumu Mahiza!
 
sio wkt mwingine, siku zote na mara zote kinakiukwa. sisi tuna kivuli cha democrasia tu.

bad enough, kuna wengine walitupiliwa mbali na wananchi wao kwenye uchaguzi mkuu mfano ni Joel Bendera. ya nini kumpa madaraka mengine achilia mbali matumizi mabaya ya pesa. wananchi wamemkataa na kumwona hafai kuwa kiongozi, kwa nini tena apewe kuongoza watu hao? si kulazimisha watu kutawaliwa wkt wao hawataki?

si ajabu na Masha naye akatangazwa kwenye mkoa wa madini(GEITA) mwakani ili waibe vizuri.

Mkuu ameteua wakuu wa mikoa na kutegesha nafasi chache ili aangalie kwanza upepo utakavyovuma baada ya uteuzi huo. Sasa subiri uone kitakachoendelea utashangaa. Wanafuata maswahiba sasa. Ndiyo shida ya kulundika madaraka yote kwa mtu mmoja. Stella Manyanya??? Ishengoma??? Inakera lakini iko siku...
 

Tunaposema kuwa hatuna Rais kuna watu uwa wanaropokaropoka hapa JF kuwa tunamtusi huyu Rais....sasa maamuzi kama haya unaweza ukasemaje? Tuache ushabiki na upumbavu jamani,hasa wanachama na washabiki wa CCM,haiwezekani hiyo CCM inayodai ina wanachama makini zaidi ya million 4 ikakosa mtu wa kushika madaraka ya ukuu wa mkoa? unfortunately,sijawai kuona ufanisi wa hawa watu katika taifa hili...Kwanini tusiseme kuwa Rais anachagua wasaidizi wasiokuwa na uwezo? Yaani yeye anachagua watu watakao linda maslahi ya CCM na umafia wao.....who is Manyanya leteni CV yake hapa....tuache utoto jamani,tunahitaji watu makini na wazalendo kwa taifa lao sio kwa CCM,huyu Manyanya hata bungeni kazi yakei ni kusifia CCM na kuomba miongozo au kutoa taarifa pale anapohisi kuwa CCM na umafia wake unawekwa wazi.....Kweli hii serikali ndio sikivu au ziba masikio,yaani kelele zote za wananchi juu ya utaratibu huu mbovu bado JK na vilaza wengine pale serikalini wameshindwa kutoa suluhisho ya hili jambo?
Nini Wakuu wa Mikoa bwana! Waziri Mkuu nilazima awe MBUNGE tena wa JIMBO; Mawaziri wote na Manaibu wao ni Wabunge. Mihimili nchi hii iko MIWILI tu. Serikali na Mahakama basi. Bunge limo ndani ya serikali kwa asilimia 99. Tatizo ni KATIBA yetu sio JK.
 
Mkuu ameteua wakuu wa mikoa na kutegesha nafasi chache ili aangalie kwanza upepo utakavyovuma baada ya uteuzi huo. Sasa subiri uone kitakachoendelea utashangaa. Wanafuata maswahiba sasa. Ndiyo shida ya kulundika madaraka yote kwa mtu mmoja. Stella Manyanya??? Ishengoma??? Inakera lakini iko siku...
Angalau safari hii amewateua hawa VITI MAALUM. Hawana kazi. Sasa hivi viti maalum wako wengi kila mkoa. CCM ina wao, CHADEMA ina wengine na CUF hali kadhalika. Ni vurugu tupu huko mikoani.
 
Na hao waliokataliwa katika kura za maoni ndani ya chama chao cha magamba, unaona ambavyo wamerudishwa kwa mlango wa nyuma? Kumbe ilikuwa ni lazima kwa watu hao kuwepo ndani ya serikali.
 
Na hao waliokataliwa katika kura za maoni ndani ya chama chao cha magamba, unaona ambavyo wamerudishwa kwa mlango wa nyuma? Kumbe ilikuwa ni lazima kwa watu hao kuwepo ndani ya serikali.
Wengine wamerudi kwa sababu ya DINI zao; wengine JINSIA zao; wengine USWAHIBA wao na JK; wengine UTIIFU wao wa kizezeta; wengine UKANDA wao wanakotoka; wachache kwa CV na UTENDAJI wao. Hivyo ndivyo VIGEZO MAMA vya TEUZI za sasa. KATIBA yetu iko kimya. JK anajifanyia teuzi zake kwa anaowataka na wakati anaotaka yeye!
 
Ukifikiria sana hii nchi, ina maswali yasiyo na majibu
i just cant wait to hear from Tz authority ( his exellence president), what do they use to justify such an appointment.
Member of parliament then Regional commisioner. then somewhere chairman of the board e.t.c... e.t.c
Now i remember Lisu with his a clever word ( Uraisi wa ki Falme)
 
Ukifikiria sana hii nchi, ina maswali yasiyo na majibu
i just cant wait to hear from Tz authority ( his exellence president), his justification for such appointment. double standard kind
Member of parliament then Regional commisioner. then somewhere chairman of the board e.t.c... e.t.c
Now i remember Lisu with his clever word ( Uraisi wa ki Falme)
 
Tunaongozwa na sirikali legelege. Tunaenda kwa nguvu za muumba.
 
nchi hii haivitaisha vituko hiki ni kituko cha mwaka hakuna wachapakazi wengi nje ya hao? au hao wanafanyakazi kwa bidii sana? au wanelimu kuwazidi wengine? sipati jibu la haraka hapa
 
Shemeji habari yake bana.

Nadhani itakuwa ni typo error tu.

Huyo bibie Fatma Mwassa hata mimi nimeiona hiyo taarifa yake kupitia startv akilalamikiwa na wananchi wa mvomero kwa kushindwa kusimamia uamuzi/maagizo yake juu ya utatuzi wa mgogoro wa ardhi yao.

Na kwakuwa hoja ya msingi ya mdau ni kama ataweza kumudu majukumu ya uRC wakati akiwa DC ameonekana kupwaya. Ukumbuke kwamba anakwenda tabora ambapo kuna migogoro mingi ya ardhi hususan wilayani urambo ambako dc ni mbeijing mwenzake.

Asante Mwita Manyara. Yeah ni typo error kwenye jina, hoja yangu inabaki pale pale kwa RC mpya wa Tabora.
 
Back
Top Bottom