Mallaba
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 2,554
- 47
Luhanjo si alikwenda kwa waziri mkuu?? au alirudishwa tena?ukiwa katibu mkuu ofisi ya Rais ikulu inafahamika ndio katibu mkuu kiongozi au siku hizi imebadilika ni watu wawili tofauti?
Nakumbuka mwaka jana jamaa alihamishiwa ofsi ya PM PiNDA