Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,275
- 31,403
Sawa inatosha lakini huo ndiyo ukweli. Kwa jinsi TANESCO inavyoendeshwa utafikiri haina bodi ya wakurugenzi. Kama inashindikana kubadilishana bodi za TBL na TANESCO, basi timu nzima ya nishati na madini ihamie viwanda na biashara na ile ya viwanda na biashara iende nishati na madini.Ngali Ngali Ngali............................................!Inatosha bana![/COLOR]