Hii sasa nayo imekaa sivyo ndivyo, nadhani kuna jambo la kudhania katika hili;
-kwanza system haikufanya kazi sawa sawa katika kupitia profile za wateuliwa na hvy inahitaji kukumbushwa katika hili.
-pili kwa kuwa huyu si mtu wa kwanza kupigiwa kelele na wananchi na sheria zetu(rushwa) bado akateuliwa, yawezekana Mhe azingatii maoni ya kamati husika ikiwa pamoja na TISS (Mfano uteuzi ambao wananchi walipigia kelele; EL, Chenge na RC-Mby).
Hvy lawama za nani kafanya nini na nani hakufanya nini inategemea na sababu ambazo hatuwezi kuelezwa hapa, lakini kwa hili nadhani kunakuchomekea somewhere.
-kwanza system haikufanya kazi sawa sawa katika kupitia profile za wateuliwa na hvy inahitaji kukumbushwa katika hili.
-pili kwa kuwa huyu si mtu wa kwanza kupigiwa kelele na wananchi na sheria zetu(rushwa) bado akateuliwa, yawezekana Mhe azingatii maoni ya kamati husika ikiwa pamoja na TISS (Mfano uteuzi ambao wananchi walipigia kelele; EL, Chenge na RC-Mby).
Hvy lawama za nani kafanya nini na nani hakufanya nini inategemea na sababu ambazo hatuwezi kuelezwa hapa, lakini kwa hili nadhani kunakuchomekea somewhere.