Mtaka Haki
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 492
- 149
Watanzania wenzangu. Nimegundua kuwa wengi wetu tunapiga kura kwa huruma kwa sababu tumekuzwa na kuelelewa kwa kuhurumiana. Kila mmoja wetu amegundua hasa baada ya mdahalo wa jana kuwa rais wetu amechoka na hata amekiri hivyo.
Kwa kuwa bado atabakia kuwa mwenyekiti wa CCM bado hicho ni cheo kikubwa na cha heshima.
Kwa hiyo wale mliokuwa kama mimi. ( Wenye kumhurumia na kumpenda). Basi tumpe Slaa kura ya Urais na yeye atabakia kuwa mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi chama kikubwa na kikongwe.
Yeyote anayempenda rais wetu kama mimi hatapenda kumtwisha tena mzigo mzito wa miaka mitano.
NAFARIJIKA KUJUA KUWA ATABAKIA KUWA MWENYEKITI WA CHAMA TAIFA HATA AKIKOSA URAIS.
Kwa kuwa bado atabakia kuwa mwenyekiti wa CCM bado hicho ni cheo kikubwa na cha heshima.
Kwa hiyo wale mliokuwa kama mimi. ( Wenye kumhurumia na kumpenda). Basi tumpe Slaa kura ya Urais na yeye atabakia kuwa mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi chama kikubwa na kikongwe.
Yeyote anayempenda rais wetu kama mimi hatapenda kumtwisha tena mzigo mzito wa miaka mitano.
NAFARIJIKA KUJUA KUWA ATABAKIA KUWA MWENYEKITI WA CHAMA TAIFA HATA AKIKOSA URAIS.