Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
<br />
<br />
Hakuna kazi mkuu, bata kwa kwenda mbele tu
Duh Mbongo unapenda starehe kama mtu wa Burnei!! Siku tatu kulala tu na kuomboleza, hakuna kitu kama hiyo. Tuchape kazi kuwaenzi wenzetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
<br />
<br />
Hakuna kazi mkuu, bata kwa kwenda mbele tu
So siku 3 za maombolezo alizotangaza watu hawataenda kazini????
Hivi kikwete muda wote yuko nje ya Tanzania?Kufuatia msiba ulio likumba taifa,yule bingwa wa safari duniani ndugu yetu kabisa JK imemubidi ageuke kutoka Nairobi!
Mkuu nashindwa hata nikusaidieje maana lugha unayotumia inaonekana haileweki mfano xo ni nini?? Kama mabushmen wa south africa..
<br />
<br />
Ameonesha moyo wa kujali na huruma kama kawaida yake. Sasa mbona magwanda wao wanaendelea na kampeni tu Igunga?
Duh Mbongo unapenda starehe kama mtu wa Burnei!! Siku tatu kulala tu na kuomboleza, hakuna kitu kama hiyo. Tuchape kazi kuwaenzi wenzetu
Poleni wafiwa na tunawatakia uvumilivu mwema kwa wale wanaosubiri ndugu zao!
Vichekesho tupu hivi. Unajua ninapo sikia jina la kikwete napata aibu tupu.
Huyu ndio mzee wa majanga Tanzania. Kama janga la Gongo la Mboto, Mbagala, Umeme, Maji na Umaskini sijui huyu jamaa kazaliwa wapi? Maybe nisingehangaika ku-comment kwenye hii thread but I have things to say too.
Unakumbuka serikali ya mkapa wakati wa MV Bukoba na report kama ilitoka kwa wananchi, kuna yeyote yule alichukuliwa hatua? Ilikuwa kama ajali zingine za Tanzania na hii itapita kama wale wana-ccm wanavyotaka na hii si ya mwisho! Wananchi watapewa siku tatu za maombolezo ya titanic. It's all about leadership in Tanzania na hata kama watakuja wengine wakasema ni rushwa au ni uzembe but tutarudi palepale kwenye ofisi ya raisi na uongozi wake. I bet you kuna mtu ata-respond katika hii thread kusema 'kwani kikwete angefanyaje hapa na asingeweza physically kuzuia haya'
Leaders are required to protect their people na zaidi ni kuwa na uwezo wa ku-forecast the concerns and prepare the people. Kikwete anauwezo upi? Nothing nothing nothing ......
http://www.tzaffairs.org/1996/09/tanzanias-titanic-disaster--mv-bukoba/
Naona ni wajibu hao kwanza. Kiongozi wa nchi ananafasi kubwa ya kuangalia priorities na ku-safe guide inchi, hili ni jambo la kwanza. Pili kutokana na ajali nyingi kujirudia Tanzania, inaonyesha wazi hakuna wanajifunza kikubwa hakuna enforcement yeyote kuzuia wasimamizi au owners wa hizi biashara kama usafiri kutojaza wasafiri wengi ili kupata faida au laws zinazofuatwa. Ukifuatilia utakuta hakuna records za wasafiri na leo wana-destroy kila kitu ku-avoid ushahidi wakishirikiana na polisi. Loop holes zipo kila mahali Tanzania kuanzia mtoto anapozaliwa muhumbili mpaka huyo huyo mtoto akikuwa kuwa mtu mzima, tunapambana na uzembe na u-ccm kila mahali. Congrats kikwete kwa uongozi bora!
Nawatakia wanachama wa ccm furaha tele na uongozi bora wa kikwete! Kikwete na ccm mtasema nini this time? Tunajua ukweli hii ajali ni avoidable na haitakuwa accountable kwa mtu yeyote yule serikalini ikiwemo cuf.
Amerudi kama wajibu wake na tunashukuru kwa hilo. Na nyie wanaCDM sasa tafuteni kingine cha kupigia kampeni huko Igunga, si mlitegemea yeye kutokurudi ndio iwe dili huko.
Wananchi wa wapi?Arusha?sina uhakika kama bado anauza mjadala.kwa maana nyingine hazungumkiki,wananchi wamesha mdelete kwenye mawazo yao.
asante kwa kunijulisha,kweli xcul za boardng vita inaweza ikaanza madenti wanashtuka pale nchi inashangilia ushindi lol...Meli imezama huko Zanzibar.......