MKWECHE
JF-Expert Member
- Apr 8, 2011
- 299
- 64
Mie Mkweche!
Nimekuwa nifatilia swala la Mapendekezo ya kufanyia marekebisho sheria ya Katiba Mpya,
Nimeona jinsi CHADEMA walivofatilia na kuvalia njuga swala hili kwa kutumia Hekima na Busara.Vile vile Hekima ya Rais wetu nikaiona kwa jinsi alivyolopokea na alivolishughulikia swala hili kwa umakini mkubwa.
Leo nasoma kwenye magazeti naona eti wabunge wa CCM wamepania kupinga hayo Marekebisho ya Msingi yaliopendekezwa na CHADEMA na Wadau mbalimbali yatakapowasilishwa Bungeni na Serikali!Nachohofia ni wingi wao,na kama kweli watakwamisha itakuwa kwa maslahi ya nani!
Mie Mkweche,naona kama kuna hasira Ya kuzodolewa Juu ya Posho zao ndio mana wanataka kufanya haya!Kwa haili hii,kuna dalili za kutopitisha mabadiliko yaliyopendekezwa na matokeo yake katiba mpya itakuwa mbaya!
Naanza pata mashaka na Uzalendo wa Wabunge wetu!mie katiba sasa siijui vema, ila kama rais anaruhusiwa na katiba iliyopo bora avunje hili bunge la sasa ikitokea linakuwa kikwazo cha kutupa katiba Bora na Makini!
Kwanza bunge hili linatutia hasara kwa kupenda Pesa za umma! Wanapenda fedha zilekezwe mifukoni mwao badala kwa wananchi!
Nimekuwa nifatilia swala la Mapendekezo ya kufanyia marekebisho sheria ya Katiba Mpya,
Nimeona jinsi CHADEMA walivofatilia na kuvalia njuga swala hili kwa kutumia Hekima na Busara.Vile vile Hekima ya Rais wetu nikaiona kwa jinsi alivyolopokea na alivolishughulikia swala hili kwa umakini mkubwa.
Leo nasoma kwenye magazeti naona eti wabunge wa CCM wamepania kupinga hayo Marekebisho ya Msingi yaliopendekezwa na CHADEMA na Wadau mbalimbali yatakapowasilishwa Bungeni na Serikali!Nachohofia ni wingi wao,na kama kweli watakwamisha itakuwa kwa maslahi ya nani!
Mie Mkweche,naona kama kuna hasira Ya kuzodolewa Juu ya Posho zao ndio mana wanataka kufanya haya!Kwa haili hii,kuna dalili za kutopitisha mabadiliko yaliyopendekezwa na matokeo yake katiba mpya itakuwa mbaya!
Naanza pata mashaka na Uzalendo wa Wabunge wetu!mie katiba sasa siijui vema, ila kama rais anaruhusiwa na katiba iliyopo bora avunje hili bunge la sasa ikitokea linakuwa kikwazo cha kutupa katiba Bora na Makini!
Kwanza bunge hili linatutia hasara kwa kupenda Pesa za umma! Wanapenda fedha zilekezwe mifukoni mwao badala kwa wananchi!