ChescoMatunda
JF-Expert Member
- Jan 7, 2009
- 1,232
- 442
mimi sijawahi kuona nchi humu duniani yenye matamko ya maaskofu mengi kama hapa bongo.wanaizidi hata vatican bana...na kila wanapotoa matamko hata hawajui kuwa wana create more religious hardliner kwa pande zote.Matamko ya Mabaraza la Maaskofu yamekuathiri sanaaa.... Anyway ukipita pale kurasini waulizie ile nembo ( NGAO YA TAIFA ) getini ni ya nini ?
Wako wapi wapiga kelele za udini? Naona toka apigwe mkwara na maaskofu kaamua kuwateua "wao" tu sometimes hizi blackmailing na mikwara mbuzi vinasaidia ku maintain "status quo".
Walau tutapumua kutoka kwenye "matamko"......
Huo umaskini ni kutokana na UCCM wao, na wala sio Ukristu wao. Maendeleo ya nchi hayasukumwi kwa sera za dini, bali kwa sera za serikali iliyopo madarakani wakati huo (ambayo muda wote imekuwa ya CCM). Ndio maana tunatoa wito kwa wazalendo wa nchi hii, wakristu kwa waisilamu na wenye dini nyingine, wanawake kwa wanaume, vijana kwa wazee, kuunganisha nguvu zao ili kuiondoa CCM madarakani na kukiweka chama ambacho walau kimeshajijenga kiasi fulani (CHADEMA), badala ya kuanzisha chama kitakachoanza moja, au kitakachotumia nguvu kubwa na muda mrefu kuibomoa CCM. Haya mambo ya kuunganisha CUF na CCM ni mbinu tu za CCM kugawanya kura za wazalendo ili kiendelee kubaki madarakani kuendeleza umaskini huo tunaolia nao. Haya mambo ya kuwatumia BAADHI ya waisilamu wailaani CHADEMA ni mbinu nyingine ya CCM kuzigawanya kura za wazalendo. Kama unalalamika na umaskini wa nchi hii, basi jiunge na kundi linaloelekea kuiondoa CCM madarakani, na wala usiwe mmoja wa hao wanaotumiwa na CCM kuzigawa kura, wala usiwe mmoja wa hao wanaosema CHADEMA ni cha wakristu, wala usiwe mmoja wa hao wanaosema CHADEMA ni cha wachaga, tutafika...Since independence mna lipi la kujivunia hadi sasa? Keshokutwa tunasherehekea miaka 50 ya kuzaliwa kwa taifa la Tanzania ila maendeleo yake hayaonekani hadi leo.
Hongera Bi Julieth kwa kuteuliwa kushika wadhifa huu muhimu. Hata hivyo taarifa ya Ikulu ni fupi mno kuhusu sifa na uzoefu wako uliofanya ukateuliwa. Website ya SADC Banking Association bado inaonyesha kuwa wewe ni Meneja Mradi (Project Manager) wa PPP project. Majukumu yako hayakuainishwa na hicho cheo cha Meneja Mkuu wa Fedha na Huduma za Kibenki hakikutajwa humo. Ikulu, au wewe ikiwezekana, wangesaidia zaidi kama wangeonyesha ni vigezo gani wametumia kukuteua, la sivyo uteuzi huu hautofautiani na teuzi tulizozizoea ambapo watu wanateuliwa tu kwa sababu walikutana na Bwana Mkubwa huko nje ya nchi katika ziara zake za kikazi.MONDAY, APRIL 22, 2013
MICHUZI
hapo ndipo nilitaka kujua pia kama ni jina tua au anahusiana na familia ya Kairuki wa Hospitali ya Mikiocheni?huyu sio ndugu na kairuki yule naibu waziri wa nini sijui? Au kaolewa na akina kairuki maana naona kuna Rugeiyamu na Kairuki hapohapo hebu nijuzeni
Hapana huyu siyo mama yake Angela Kairuki. Angela Kairuki Hilo jina analotumia ni la ndoa(Mumewe).huyu ndiye mama yake na waziri yule anayehusika na sheria pia Angela Kairuki??
mwendo wa kujuana juana tu!!
huyu sio ndugu na kairuki yule naibu waziri wa nini sijui? Au kaolewa na akina kairuki maana naona kuna Rugeiyamu na Kairuki hapohapo hebu nijuzeni
Wanawake wanaweza wakiwezeshwa....Hongera Bi Juliet
uHivi ikiwa kila uteuzi utaangaliwa kwa lensi ya ukristo au uislamu wale ambao siyo wafuasi wa hizo dini mbili ina maana hawana haki nchi hii? Kuna mamilioni ya watanzania ambao hawafungamani na hizo dini mbili na wana haki sawa ndani ya nchi yao hii. Jambo jingine ambalo wengi hamlizingatii ni kuwa nchi hii siyo kila mwenye jina la John ni mkristo na siyo kila Juma ni mwislamu.
Mkweree ana mapenzi na majina ya wakina KAIRUKI!!! Mama ya Angela Kairuki ni mjumbe wa tume ya katiba na pia mjumbe wa bodi ya BOT, Angela kairuki ni Naibu waziri, Mbelwa kairuki ni Balozi na mkurugenzi wizara ya mambo ya nje na sas Huyu Kairuki mwingine hapo TIC!!! Kazi unayo na wakina kairuki baba MwanaAsha!!
bado mimi Mamndenyi tu, dah.
huyu ndiye mama yake na waziri yule anayehusika na sheria pia Angela Kairuki??
mwendo wa kujuana juana tu!!
Kagera technology inamchanganya mkuu wa kaya