............wakuu hapa jf naomba nilete wazo binafsi hapa jf,natamani hizi picha siku moja tuzi-print zigawiwe kwa wananchi wakati wa mikutano ya hadhara ya chama chetu makini cdm..jamani kwa wale watafiti wa mambo ya kisiasa ni rais gani aliyeweza kupiga picha na madada poa kama hao? Ni rais gani anayeweza kujiraisisha kwa wanamuziki wa hiphop namna hii? Huu ni ushenzi na dharau kubwa sana kwa taifa letu na hasa kwa watanzania,huyu rais anatutia aibu watanzania,amekuwa akiraisisha sana kwa watu wasioeleweka...sasa kwa picha kama hizi ukisema rais wetu ni malaya tutakataa? Tuache ujinga watanzania jamani,huu ni ujinga usiopaswa kuvumilika hata kidogo kwa mtanzania yeyote aliye na akili timamu....
mwacheni aoshe.naona kafanya makusudi mbwabwaje vizuri lol
kweli wewe ni professor Mkandara II.